Operesheni ya kusaka wahalifu iliyoanzishwa na Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema, jimboni mwake imeibua uasi mkubwa baada ya kundi la watu wanaodhaniwa kuwa ni wahalifu sugu kijijini humo kuchoma moto nyumba ya Mwenyekiti wa kijiji cha Kiraracha Kata ya Marangu Magharibi Wilaya ya Moshi, Andrew Anselim Lekule (50).