S Swissyou JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 231 Reaction score 140 Aug 25, 2016 #81 CHUAKACHARA said: MREMA NI AMESHAKUFA KISIASA! Click to expand... Qushney kabisa.
GhostRyder1 JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 286 Reaction score 212 Aug 25, 2016 #82 John Ntandu said: Mrema azeeka vibaya kwani kama ndugu wakikaa pamoja wakielewana yeye kinachomwumiza ni nini ebu naatulie zake hana jipya tena na hata busara na hekima zinamtoka sasa. Click to expand... Ila Kingunge anazeeka vizuri!!!!!! Mmelewa na harufu za ush.uzi wa strauberi.
John Ntandu said: Mrema azeeka vibaya kwani kama ndugu wakikaa pamoja wakielewana yeye kinachomwumiza ni nini ebu naatulie zake hana jipya tena na hata busara na hekima zinamtoka sasa. Click to expand... Ila Kingunge anazeeka vizuri!!!!!! Mmelewa na harufu za ush.uzi wa strauberi.
L Lucas Mganda JF-Expert Member Joined Mar 13, 2016 Posts 254 Reaction score 180 Aug 25, 2016 #83 na hicho ndo ninachokiona hakuna aliyetayari kuwabembeleza ili tuone lengo lao ninini?