Elections 2010 Mrema aapa kuivuruga Chadema

Malisa, alisema kwa miaka 10 sasa Chadema imeongoza jimbo hilo, lakini hakuna mabadiliko yoyote yaliyopatikana zaidi ya wananchi kubaki mashabiki wa chama hicho
ccm wameongoza Taifa hili miaka zaidi ya 40, bila kuleta mageuzi haswa kimaisha na wala mabadiliko kwanini wastahili kuongezewa Muda....
 
Mrema suti na Raba mtoni wapi na wapi??? baaangu. Inabidi wajanja wafuatilie Muhimbili psychiatric department huenda mzee mzima analo file la kale kagonjwa na dose anapata kama kawa.Chunguza Utabaini mjomba

Duh!kaali kwelikweli.
 
Unapokuwa na ndungu yako anafanya mambo kiwenda wazimu hasusani kiongozi inabidi umwondoe kwenye public na umtafutie wataalam, hii ilimkutaga aliyekuwa PM wa UK Margaret Thatcher(Iron Lady).Sasa ndugu zake Mrema sijui wako wapi kwenye hili.
 
Mkuu,
Mrema ni usalama wa taifa in action kuwavuruga wapinzani. Hiyo ndo kazi aliyotumwa na CCM akafanye huko upinzani.
Sidhani kama usalama wa taifa wanamwitaji mtu kama Mrema anayekwenda majukwaani na kusema yeye ni uwt.
 
Mrema kwa kuiunga mkono CCM alidhani atapata mteremko wa ubunge kule Vunjo. Bahati mbaya CCM nao wakasimamisha mgombea. Ukafanyika mdahalo TBC, Mrema alivurunda kama kawaida yake. matokeo yake Wagombea wa Chadema na CCM walin'gara sana.

Kitakachotokea Vunjo, CCM na TLP watagawana Kura na si ajabu Mgombea wa Chadema ndiye akawa mshindi. (time will tell) an hiki ndicho kinachomsumbua Lyatonga mpaka kuanza kulialia sasa hivi.
 
Huyu kachanganyikiwa

mrema chizi

Huyu mzee, wala huwezi kutia neno kwake. Ana wazimu na yuko desperate kuingia bungeni akalale vizuri.

Hatuchagu wagonjwa sisi, naamini hata Vunjo wanaamini hivyo. Mwache alie lie tu...:biggrin1:

Baba Mpumbavu anayeua watoto wake, ni vyema afe tu....ndiyo salama ya watoto

Mrema nae kawaambia hivi
"Alisema anashangazwa na upinzani uliopo sasa miongoni mwa vyama vya upinzani, kwani havijalenga kuchukua madaraka ya nchi, bali kushambuliana, jambo linalozidi kuvidhoofisha na kuiacha CCM ikitamba"
 
Ndo maana kofia yake huwa haitoki kichwani ana kovu lilisababishwa na ajali kwa hiyo kichwa yake haiko musuri
 

Angekuwa ndani ningeofia lakini nje! Ni sawa ni kelele za vyura hazimzui tembo kunywa maji!
 
hahaahha hahaha hahaha
Mrema anapaswa kujiunga na ZE ORIJINO KOMEDY tuwe tunapata burdani kila wiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…