Anna pita
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 227
- 427
Jana nilikuwa safarini kuja Kibondo kwa bibi kama nilivyo eleza lengo langu sio kuua japo bibi alinipa option
1, Kuua
2, Kutengua ndoa
3, Kumfanya awe anisi
4, Asiowe katika maisha yake yote kila akipata mwanamke wanakosana hata wiki haishi.
5, Kumuachisha kazi maana ndio inayompa kiburi
Ndo nimemaliza kazi sasa hivi nilichoamua kumfanya dushe isisimame na asiweze kupata mwanamke yoyote yule maishani mwake.
Kuhusu matunzo ya mtoto tutakutana ustawi wa jamii.
Nimefanya hivi kutokana na dharau alizonionesha, asingenioa sawa lakini dharau na majigambo hayafai.
Namuamini bibi kwani wengi wameshuhudia mafanikio.
Nadhan Jumatatu naanza safari ya kurudi home.
Asanteni
1, Kuua
2, Kutengua ndoa
3, Kumfanya awe anisi
4, Asiowe katika maisha yake yote kila akipata mwanamke wanakosana hata wiki haishi.
5, Kumuachisha kazi maana ndio inayompa kiburi
Ndo nimemaliza kazi sasa hivi nilichoamua kumfanya dushe isisimame na asiweze kupata mwanamke yoyote yule maishani mwake.
Kuhusu matunzo ya mtoto tutakutana ustawi wa jamii.
Nimefanya hivi kutokana na dharau alizonionesha, asingenioa sawa lakini dharau na majigambo hayafai.
Namuamini bibi kwani wengi wameshuhudia mafanikio.
Nadhan Jumatatu naanza safari ya kurudi home.
Asanteni