Mrejesho: Nimepigiwa na namba ya ajabu

Mrejesho: Nimepigiwa na namba ya ajabu

ntilavano

Senior Member
Joined
Mar 10, 2015
Posts
136
Reaction score
31
Habarini ndugu zangu,

Natumai mu wazima husika na kichwa cha habari hapo juu.

Baada ya kuleta uzi kuhusu namba ya ajabu iliyonipigia nilipata kuondokana na wasiwasi kutokana na coment mbimbali nikakaa kimya ndipo juzi Jumapili nikatumiwa text kwa what's app na demu wangu mmoja yupo Oman akaniambia yale masuala ya juzi kati alinipigia nikasema simjui kwa kweli nilimtukana matusi ya nguoni maana nilipata mshituko sana kuhusu ile simu.

Nikamuambia mimi nilikueleza namba zimekuja 88 tu nakuuliza wewe nani unanikatia simu na kunilaumu juu. Basi tukaongea yakaisha hivyo nichukue nafasi hii kuwashukuru kwa ushirikiano wenu na kuwatoa hofu kwa wengine watakaopata namba kama hizi wasiogope ni mambo tu ya mtandao sio uchawi wala ndumba.

Wasalam
 
Inakuweje demu wako anaenda mpaka Oman bila wewe kujua?????? Bila shaka atakuwa mchepukoo???
 
Bado jeshi la Polisi linastahili kupokea lawama hizi kwani maeneo mengi ambayo matukio haya ya uhalifu yanatokea ni yale yale kila mara ila hakuna hatua zozote kuhakikisha kuwa kuna ulinzi wa kudumu na Patrol za uhakika, baada ya uchaguzi magari yamewekwa Yard kusubiri maandamano ya vyama vya upinzani.
 
Inakuweje demu wako anaenda mpaka Oman bila wewe kujua?????? Bila shaka atakuwa mchepukoo???

Najua kama yupo Oman ila nawasiliana nae kwa chating za whats app kutumia simu ya boss wake ila yeye hatumii whats app ila namba yakw ninayo na hua ninampigia.
 
Bado nina mashaka na mtoa mada, kama sio igizo inaweza kuwa silaha chukua tahadhari.

Haya soma na hayo mazungumzo yetu kama bado una mashaka niambie
 

Attachments

  • 1450161297588.jpg
    1450161297588.jpg
    83.3 KB · Views: 339
  • 1450161320491.jpg
    1450161320491.jpg
    82.5 KB · Views: 303
Haya soma na hayo mazungumzo yetu kama bado una mashaka niambie

Mkuu asije kuwa demu wangu maana ata mimi nina demu huko, tusijekuta mmoja wetu ni mchepuko..! Niambie namba ya demu wako inaishia na ngapi namba tatu za mwisho...
 
anakwamba acha kuandikansana alaff mke wako anakuita wangu ndo nn sasa alaff huko oman anafanya kazi za ndani au anaogesha vikongwe
 
anakwamba acha kuandikansana alaff mke wako anakuita wangu ndo nn sasa alaff huko oman anafanya kazi za ndani au anaogesha vikongwe

Rudia kusona uzi wangu kama kuna sehemu nimeandika mkewangu nachoona mimi nimesema demu wangu. Kuhusu suala lates kuandika sana alitaka tuingie kwenye mada mpya sababu simu sio yake. Kuhusu kazi anayofanya ni siri yake yeye na muajiri wake lakini kazi ni kazi mradi inakulipa na unafanya kwa moyo wako.
 
Mkuu asije kuwa demu wangu maana ata mimi nina demu huko, tusijekuta mmoja wetu ni mchepuko..! Niambie namba ya demu wako inaishia na ngapi namba tatu za mwisho...

Acha njaa wewe Oman wapo wengi sana wabongo tuliza mshona mkuu.
 
Back
Top Bottom