Mkuu hiyo 30 imetoka wap mana jamaa anafanya siku tatu ndani ya week60,000×30×3= 5,400,000/= net profit(minimum) na bado unalalamika...
Hiyo corrolla yako ulinunua bei gan?
kafanya kwa miezi 3Mkuu hiyo 30 imetoka wap mana jamaa anafanya siku tatu ndani ya week
Umetembelea vijiwe vingapi vya taxi? Hao na wa pale airport ndo wanalia na UBER maana trip waliokuwa wanatoza 15,000/= UBER wanaenda kwa 3,000/=Wewe ni jipu nimetembelea vijiwe vingi vya taxi madereva wazee mpaka vijana wako very positive na uber na inavyowasaidi...
Chibu xtrail imefika?Umetembelea vijiwe vingapi vya taxi? Hao na wa pale airport ndo wanalia na UBER maana trip waliokuwa wanatoza 15,000/= UBER wanaenda kwa 3,000/=
Nimetuma TT jana Standard Chartered nasubiria mzigo upakiweChibu xtrail imefika?
Poapoa likija tu unipitie twenzetu kwa catterpillarNimetuma TT jana Standard Chartered nasubiria mzigo upakiwe
Sawa Sawa boss ila utachangia mafuta Boss. Maana TRA wanafanya komoa na kodi zao bandariniPoapoa likija tu unipitie twenzetu kwa catterpillar
Shida ya watu hawapigi hesabu za net profit wao wanangalia mapato bila expenses zingineBrother. Sifanyi siku zote za wiki. Nafanya siku 3 tu weekends,. Na sio kila weekends. Nilikua nafanya katika mwezi kama weekends 2 au 3.
Ishu inakuja kwenye service mzee. Leo bampa limechanika, kesho muda wa kuchange oil, keshokutwa lingine tena. Hela haiji kubwa kama hesabu ulizoandika hapo.
Ndugu ingia ujionee maajabu ya uber..stress za abiria (rating), hela kiduuchu na serviceBiashara ya uber yahitaji moyo. Mm nilikuwa na gari nilimpa dereva tena niliagiza lina cc ndogo ila jamaa akawa haleti hesabu. Sasa hv nafikiria kuingia front mwenyewe nipige ijumaa mpk j2..
Jamaa nadhani kasomea uvuvi MBEGANIMbna hii hesabu sijaielewa mkuu
Biashara ipo hivyo lazima pawe na depreciation kwenye assets. Huwezi kufanya biashara ya taxi halafu gari lako lisichafuke, mileage isiwe juu, isihitaje frequent services na usikutane mteja mkorofi. Kitu pekee kinachomake sense labda ni hiyo rate ya uber and taxify wangewapunguzia.Nilikua nafanya weekend tu. Kwakua weekdays nina kazi nyingine sikutaka kuchanganya mambo.
Nikianza Ijumaa labda saa 2 au 3 (Huu muda foreni inakua low kidogo) basi naenda maeneo kama UDSM, Mabibo Hostels, Mlimani City na Ubungo Bus terminal kwakua kuna Pings nyingi. Hafu napiga hadi saa 12 asubuhi ndio naenda kulala. Ijumaa, uta save kama 60 hivi nikitoa mafuta kwakua Ijumaa sio siku nzuri sana.
Jumamosi na Jumapili kidogo nzuri. kwanza foreni zinawahi kuisha jioni. kuanzia saa 3 barabara ni nyeupe. Pia watu wengi sana wanaenda out. So ukiwa unavijua viwanja sana hukosi pings kila baada ya dakika chache.
Kwahiyo kwa mwezi nikifanya weekends 3 hivi, kale ka hela ulikokapata, unakuta unakatumia kwa matumizi ya kawaida tu, huwezi save. Unavoanza Uber/Taxify jioni gari yako inakua safi tu, Ila kufika asubuhi gari inakua chafu sana, ndani na nje.
Kuosha mwenyewe wazo zuri, ila kumbuka AC ilikua ON muda mwingi, so kunakua na vumbi sana kwenye Airclear ya AC lazima ikapulizwe, pia ndani lazima ipitishwe vacuum cleaner maan wale abiria wengi sio wastaarabu wale wa usiku.
Kuna abiria wanajielewa sana. Akifika karibu na kwake anasema ishia hapa hapa kule barabara haipitiki mimi nitatembea. Au anakuachia hadi Tip.
IlA nilichojifunza ni kua mstaarabu sana kwenye gari la mtu, ata kama nalipia hela au nimepewa lift, roho inakua inakuuma sana kuona mtu ana panda na bia au chakula kwenye gari lako, ila ndio hivo huwezi mfukuza abiria.