MREJESHO: Nimeendesha Uber na Taxify kwa gari yangu ndani ya miezi mitatu

Wewe ni jipu nimetembelea vijiwe vingi vya taxi madereva wazee mpaka vijana wako very positive na uber na inavyowasaidi...
Umetembelea vijiwe vingapi vya taxi? Hao na wa pale airport ndo wanalia na UBER maana trip waliokuwa wanatoza 15,000/= UBER wanaenda kwa 3,000/=
 
Shida ya watu hawapigi hesabu za net profit wao wanangalia mapato bila expenses zingine
 
Naunga mkono hoja. Gari binafsi ukiipandisha abiria ni matatizo tu, Hasa Ukiwa mtu unayependa usafi kwenye gari (kama mimi).

Abiria wanachafua sana gari, hasa kwenye carpets na seats.
Wanatupa vitu walivyotumia(eg chupa) humohumo.

Kama mtu unaipenda gari yako kweli (private car), then Make it YOURS.... Biashara fanya na gari lingine .
 
Uber taxi mbweni-kariakoo = 11,000/= hapo utoe 2,500 (25%) ya Uber, mafuta, bundle, airtime.
 
Kawe-Airport =10,000/= uber 25%=2,500 tsh....mafuta, bundle, airtime, pesa ya tajiri=****???
 
Biashara ipo hivyo lazima pawe na depreciation kwenye assets. Huwezi kufanya biashara ya taxi halafu gari lako lisichafuke, mileage isiwe juu, isihitaje frequent services na usikutane mteja mkorofi. Kitu pekee kinachomake sense labda ni hiyo rate ya uber and taxify wangewapunguzia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…