Mrejesho: Mini-EX wangu Amenirudia!

Mrejesho: Mini-EX wangu Amenirudia!

Kwamba unataka kusema baada ya kusajiliwa timu nyingine afu hakufanya vizur kaamua kurudi timu ya zamani duh pole & hongera

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Bwege kweli acha nitumie lugha ya matusi ndo utanielewa mwanaume mwenzako...amekuacha ameenda uko ametombwaaa weee kaona ameachika ndo amerud kwako plan B uliyekuwa unamtukuza na kweli umemkaribisha kwa shangwe...anakupenda angekuacha?madogo ni lini mtakuja kuwa na maamuzi ya kigaidi?unafanywa plan B unaleta uzi wa kujisifi!

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
Bwege kweli acha nitumie lugha ya matusi ndo utanielewa mwanaume mwenzako...amekuacha ameenda uko ametombwaaa weee kaona ameachika ndo amerud kwako plan B uliyekuwa unamtukuza na kweli umemkaribisha kwa shangwe...anakupenda angekuacha?madogo ni lini mtakuja kuwa na maamuzi ya kigaidi?unafanywa plan B unaleta uzi wa kujisifi!

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
Hahahaaaaa Bro umetumiaa Lugha Kali sana sasa ulitaka Kunishaurijee!
 
Unarudia kulamba matapishi uliyotapika hakika utatapika tena anyway mungu awatangulie
 
wasukuma wanasemaga 'shokela shokela ikashokelaga na minge' rudia rudia huwa inarud na mengi! watch it!
 
wasukuma wanasemaga 'shokela shokela ikashokelaga na minge' rudia rudia huwa inarud na mengi! watch it!
Mtani sio kwa kunimwagia kisukuma lol.

Kwa kuwa kapewa raha hajapata hata muda wa kuyakumbuka hayo.
 
Hajashtuka tuu.... Yaan Huyo katafunwaa wee.. Ndo karudi kwa bwege lake sasa

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
dah kumamamaee walai ila wanawake nyny wabaya sana....

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom