Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,315
- 8,747
Habari zenu wana MMU Kama sikosei mwishoni mwa Mwezi June Nililetaa uzi uhusuo Mimi na Kipenzi changu Kuachana Basi nilimsahau kiufupi japo nilikuwa Nampenda Kiasi!
sasa kila nikitazama our old conversation nilikuwa naumia flani na nkicheki ata picha zetu za pamoja nilikuwa Naumia Kiasi!
sasa jana braza enu nikiwa mtaani na Mishe mishe zangu nashtuka namuona mtoto wa kike (hatukuonana kama miezi 6) nikashangaa kwa mshtuko na yeye vivo hivo basi hapa na pale kwa kiaibu cha Mahaba akaniambia anawahi! nami nikamruhusu daah si jion akaniibukia kunitafta nikamtania tyu kwamba pliz comeback am alone hee nashangaa mtotoo anaanza kulia anadai A nilikuwa Naumia sana kipindi chote ambapo tumeachana!
Daaah kiukweli niliduwaa basi akaniambia nimerudi kwako na namuomba Mungu Tusije achana tena na mimi hapo akili sina maana sio kwa ile shepu na uzuri!.
Kiufupi sijawahi date na mwanamke mwenye msambwanda kama huyu yaani wa kutoshaa watotoo wa mujini wanaitaa Churaa!
Anyway Leo mtotoo akatiaa timu gheto kwa Engineer Akapata Halali yake kama Mwanamke yaani Hapa napokea sms za shukrani tyu maraa eti zawad gani Nikupe!
Hahahaa Jamani Mapenzi Raaha! Hata kama kuna Kuumizana ile kityme cha Furaaha kunaa Raahaa ya Ajabu!
Anyway siku Njema Ndugu Na Amani ya Bwana iwe Pamoja Nawe!
sasa kila nikitazama our old conversation nilikuwa naumia flani na nkicheki ata picha zetu za pamoja nilikuwa Naumia Kiasi!
sasa jana braza enu nikiwa mtaani na Mishe mishe zangu nashtuka namuona mtoto wa kike (hatukuonana kama miezi 6) nikashangaa kwa mshtuko na yeye vivo hivo basi hapa na pale kwa kiaibu cha Mahaba akaniambia anawahi! nami nikamruhusu daah si jion akaniibukia kunitafta nikamtania tyu kwamba pliz comeback am alone hee nashangaa mtotoo anaanza kulia anadai A nilikuwa Naumia sana kipindi chote ambapo tumeachana!
Daaah kiukweli niliduwaa basi akaniambia nimerudi kwako na namuomba Mungu Tusije achana tena na mimi hapo akili sina maana sio kwa ile shepu na uzuri!.
Kiufupi sijawahi date na mwanamke mwenye msambwanda kama huyu yaani wa kutoshaa watotoo wa mujini wanaitaa Churaa!
Anyway Leo mtotoo akatiaa timu gheto kwa Engineer Akapata Halali yake kama Mwanamke yaani Hapa napokea sms za shukrani tyu maraa eti zawad gani Nikupe!
Hahahaa Jamani Mapenzi Raaha! Hata kama kuna Kuumizana ile kityme cha Furaaha kunaa Raahaa ya Ajabu!
Anyway siku Njema Ndugu Na Amani ya Bwana iwe Pamoja Nawe!