Mrejesho: Madhara Ya Mapenzi Ya Aina Hii,.

Mrejesho: Madhara Ya Mapenzi Ya Aina Hii,.

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,369
Reaction score
27,785
Habari zenu wana-MMU,.

Kwanza kabla ya yote nielekeze pongezi zangu za dhati kwa wale wote waliojitolea muda na akili zao katika kunishauri katika uzi wangu niliouleta hapa jamvini siku chache zilizopita,.

Haijalishi kama ulinibeza au kunitamkia maneno yasiyojenga kwani naamini katika kutofautiana ndipo muafaka sahihi unaweza kufikiwa,.


Wakuu Jambo la msingi lililonisababishia kufungua huu uzi ni kwamba nimeamua mwenyewe kwa moyo wangu wa dhati kujenga familia na msichana ambaye nilimuelezea hapa Jamvini,.

Kwa sasa yeye yupo Dar na mimi nipo nje ya Dar lakini huwa tunawasiliana mara kwa mara,.

Nawaomba mnishauri nifanye kitu gani ili niweze kujihakikishia kwamba lengo langu la kujenga familia naye linafanikiwa ingawa sina wasiwasi naye maana kwa sasa bado najipanga kimaisha,.

Natanguliza Shukrani wakuu,..
 
Weka link ya huo uzi wako kwanza.
Natumai unazijua mpesa,tigopesa,airtelmoney.
 
Habari zenu wana-MMU,.

Kwanza kabla ya yote nielekeze pongezi zangu za dhati kwa wale wote waliojitolea muda na akili zao katika kunishauri katika uzi wangu niliouleta hapa jamvini siku chache zilizopita,.

Haijalishi kama ulinibeza au kunitamkia maneno yasiyojenga kwani naamini katika kutofautiana ndipo muafaka sahihi unaweza kufikiwa,.


Wakuu Jambo la msingi lililonisababishia kufungua huu uzi ni kwamba nimeamua mwenyewe kwa moyo wangu wa dhati kujenga familia na msichana ambaye nilimuelezea hapa Jamvini,.

Kwa sasa yeye yupo Dar na mimi nipo nje ya Dar lakini huwa tunawasiliana mara kwa mara,.

Nawaomba mnishauri nifanye kitu gani ili niweze kujihakikishia kwamba lengo langu la kujenga familia naye linafanikiwa ingawa sina wasiwasi naye maana kwa sasa bado najipanga kimaisha,.

Natanguliza Shukrani wakuu,..

hongera kwa kusikia mawazo ya walio wengi
 
Weka link ya huo uzi wako kwanza.
Natumai unazijua mpesa,tigopesa,airtelmoney.

mkuu nimeshindwa kuweka link hapa ila jaribu ku-search utaiona,. Tittle hiyo hapo juu kwenye heading!!

Kwenye M-pesa, Tigo pesa sijakuelewa mkuu,..

Naomba ufafanuzi,.
 
mbona huu sio mrejesho? au mi ndo sielewi mrejesho nini?
 
mbona huu sio mrejesho? au mi ndo sielewi mrejesho nini?

kama ulichangia mada utakumbuka wadau wengi walinishauri nieendelee na yule mpenzi wangu,.

Sasa nimekubaliana na ushauri wao nahitaji msaada wa ushauri kwa nilichoomba hapo juu kwenye thread,..
 
kama ulichangia mada utakumbuka wadau wengi walinishauri nieendelee na yule mpenzi wangu,.

Sasa nimekubaliana na ushauri wao nahitaji msaada wa ushauri kwa nilichoomba hapo juu kwenye thread,..

bold: hiyo ndo ilikuwa feedback.

Nawaomba mnishauri nifanye kitu gani ili niweze kujihakikishia kwamba lengo langu la kujenga familia naye linafanikiwa ingawa sina wasiwasi naye maana kwa sasa bado najipanga kimaisha,.

sehemu hii ndo iliyonichosha mimi kuwemo kwenye mrejesho.


anyway, umejipangaje kuhakikisha kuwa unaijenga familia naye?
 
bold: hiyo ndo ilikuwa feedback.

Nawaomba mnishauri nifanye kitu gani ili niweze kujihakikishia kwamba lengo langu la kujenga familia naye linafanikiwa ingawa sina wasiwasi naye maana kwa sasa bado najipanga kimaisha,.

sehemu hii ndo iliyonichosha mimi kuwemo kwenye mrejesho.


anyway, umejipangaje kuhakikisha kuwa unaijenga familia naye?

ahsante kwa kuwa muelewa kiongozi,.



Hilo swali uliloniuliza mimi sidhani kama linahusiana moja kwa moja na mada tajwa!!

''jaribu kupitia tena uzi kwa umakini utanielewa mkuu''


Issue ilikuwa mimi kukubali kujenga naye familia hapo mbeleni na mipango mingine itaenda sawa tu hamna shida!!

Sasa naomba kujua kutoka kwenu ni nini hasa cha muhimu cha kuzingatia kabla hatujafikia hatua ya kuoana maana na yeye bado yupo chuoni anasoma!!
 
Asante, kuwa mwaminifu kwa asilimia miamoja,utafikia malengo mkuu

Ahsante madame L, uaminifu ninao kabla,.

Nilitaka kujua namna gani nitamuandaa kuwa mke ilhali bado najipanga taratibu ukizingatia yeye bado yupo chini ya familia ya wazazi wake na bado anasoma,..
 
Last edited by a moderator:
ahsante kwa kuwa muelewa kiongozi,.



Hilo swali uliloniuliza mimi sidhani kama linahusiana moja kwa moja na mada tajwa!!

''jaribu kupitia tena uzi kwa umakini utanielewa mkuu''


Issue ilikuwa mimi kukubali kujenga naye familia hapo mbeleni na mipango mingine itaenda sawa tu hamna shida!!

Sasa naomba kujua kutoka kwenu ni nini hasa cha muhimu cha kuzingatia kabla hatujafikia hatua ya kuoana maana na yeye bado yupo chuoni anasoma!!

asante mkuu!
ni mtazamo tu, vumilianeni, msizini, ongezeni bidii katika masomo yenu na heshimianeni.
baada ya masomo kumalizika, hakikisheni mnapa chanzo cha kujiingizia kipato kwanza kabla ya kuoana. ndoa iliyojengwa ktk misingi ya kuigiza huwa haidumu. uhusiano wenu ujengwe kiuhalisia na maisha yenu ya ndoa yatakuwa na fanaka.
kikubwa zaidi mtangulizeni Mungu katika kila jambo. USIZINI!!!
 
Kaka Hawa viumbe wa ajabu sana unaweza fanya vingiii alafu akapeperuka kama Njiwa. Kikubwa ninacho kushauri ni kuwa karibu nae sana. Onyesha kumjali sana, Mfanye rafiki yako wa karibu. Muweke katika hali ambayo anakuamini kiasi kwamba ana share na wewe furaha zake, unakuwa wa kwanza kukupigia simu anapokuwa anatokwa na machozi au ana huzuni. Ukimuweka Close hawezi ruka kaka.

Pia msaidie ki mawazo na hata zawadi ndogo ndogo usiache kumpa, umeona Viatu vizuri mara mojamoja mnunulie... Kumbuka Birthdays na uwepo kwenye achievements zake ndogo na kubwa mfano Graduations e.t.c. Kutambulika kwenye familia yake pia sio kitu kibaya. Hakikisha na dada zake wamekujua na wanakukubali kimtindo.
Ni rahisi sana kumshikilia unayempenda.
 
unataka tukufundshe jinsi ya kuishi na mkeo katika ndoa...!!! Au unataka mbinu za kukamilisha kuoa!!

Are u serious?
Unataka oa!?
Acha uvivu wa kufikiri..
 
unataka tukufundshe jinsi ya kuishi na mkeo katika ndoa...!!! Au unataka mbinu za kukamilisha kuoa!!

Are u serious?
Unataka oa!?
Acha uvivu wa kufikiri..

mkuu ukiupitia uzi tena utanielewa vizuri,.

Mimi siyo mvivu wa kufikiri ila siyo kila jambo ninaweza kulifanyia maamuzi peke yangu lazima niwashirikishe wadau,..
 
Kaka Hawa viumbe wa ajabu sana unaweza fanya vingiii alafu akapeperuka kama Njiwa. Kikubwa ninacho kushauri ni kuwa karibu nae sana. Onyesha kumjali sana, Mfanye rafiki yako wa karibu. Muweke katika hali ambayo anakuamini kiasi kwamba ana share na wewe furaha zake, unakuwa wa kwanza kukupigia simu anapokuwa anatokwa na machozi au ana huzuni. Ukimuweka Close hawezi ruka kaka.

Pia msaidie ki mawazo na hata zawadi ndogo ndogo usiache kumpa, umeona Viatu vizuri mara mojamoja mnunulie... Kumbuka Birthdays na uwepo kwenye achievements zake ndogo na kubwa mfano Graduations e.t.c. Kutambulika kwenye familia yake pia sio kitu kibaya. Hakikisha na dada zake wamekujua na wanakukubali kimtindo.
Ni rahisi sana kumshikilia unayempenda.

ahsante mkuu kwa ushauri,

Nitaufanyia kazi ushauri wako!!
 
Back
Top Bottom