Mrejesho: Kujiamini ktk utongozaji

Mrejesho: Kujiamini ktk utongozaji

sasa chifu naona ume nuwia kuki uwa chama chetu kilicho kusaidia wakat wa shida
mkuu hiki chama ni zaidi ya IS na Alshabab kinaua mamilioni ya viumbe kila siku kila dakika. Hatuna budi tukipige vita na isitoshe sijui huu upungufu wa nguvu asilimia kubwa unatokana na vijana weng kujisajili na hili chama
 
mkuu hiki chama ni zaidi ya IS na Alshabab kinaua mamilioni ya viumbe kila siku kila dakika. Hatuna budi tukipige vita na isitoshe sijui huu upungufu wa nguvu asilimia kubwa unatokana na vijana weng kujisajili na hili chama

Sina ushahid waki biologia lkn kuhusu madhara swala la upungufu sijawai li experience as a former exclusive member may b madhara we can say kua muoga kutongoza, kaz ngum kujiengua uanachama, kushindwa kukaapekeako bila kuliamsha dude, kuchelewa kufika kileleni bcoz of ngoz inakua imezoea friction ngum na , kupata mizuka ovyo ovyo. ila swala la kuua viumbe halina shida mi sion kama mtu kafa kama sijaona damu
 
Mashine kwenye Tz ya viwanda zinapatikana kwa wingi sana, ongeza juhudi kjna mwenzangu tuje tuzindue mashine kweny kiwanda chako
 
Sawasawa mkuu nilipokuwa chalii mdogo mdogo I used to be coward kwa madem.ila tokea nimejua hawa madem hamna chochote hasa hao wanaoringa sasa hivi ni kuwabandua tu.

Hivi inaingia akilini mwanaume unaogopa matusi na nyondo za mademu wakati kuna watu huko vitani wanapishana na risasi na hawaogopi.
 
Dah wewe jamaa unaona hii dunia ya kwako e sawa endelea kula utamu ila kumbuka mwosha huoshwa!
 
Niliwahi mtongoza manzi ktk ki memo cha toilet paper...aisee sitosahau
 
Huhitaji kutumia nguvu zaidi ya kumuonesha mwanamke kuwa unamjali, unamsikiliza hisia zake
 
mkuu hiki chama ni zaidi ya IS na Alshabab kinaua mamilioni ya viumbe kila siku kila dakika. Hatuna budi tukipige vita na isitoshe sijui huu upungufu wa nguvu asilimia kubwa unatokana na vijana weng kujisajili na hili chama
aliyekudanganya shahawa ni watoto ni nani?

nguvu kama unazo unazo tu, labda za kwako ni "nguvu ya BUKU"
 
Hii sasa ni writing pollution sio nondo kama ulivyotanabaisha
 
kwa upande Wang nikisha tongoza ufatiliaji zero mpaka waniuliza ulimaanisha nn kwa kweli huwa nachoka SNA kujishusha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom