Bechu
Senior Member
- Jan 7, 2017
- 134
- 72
Watu wa dar es salaam umewasahau nn? Kujifanya tuko bize ndo zetu huku.Naamini kuna walio dar watakucheck
Watu wa dar es salaam umewasahau nn? Kujifanya tuko bize ndo zetu huku.Naamini kuna walio dar watakucheck
HahahaWatu wa dar es salaam umewasahau nn? Kujifanya tuko bize ndo zetu huku.
Kufundishwa 200k, acha nife na umaskini wangu
Then soma on your own, you can still make it... And that 200K be your capitalKufundishwa 200k, acha nife na umaskini wangu
Mbona wanaopata loss huweki ili tulinganishe profit na loss? Matapeli at work
Na huyu ulimfundisha?
Ah, man, mi cfundishi, mi mwenyew dent tu wa TMTNa huyu ulimfundisha?
Nimemwuliza huyu mwl aliyeweka results ya waliofanya vizuri ila hajaweka ya waliofanya vibaya, au hakuna aliyefeli?Ah, man, mi cfundishi, mi mwenyew dent tu wa TMT
Boss, hata vibanda co wote wanaofungua wanaendelea kuuza, wengi hufungaNimemwuliza huyu mwl aliyeweka results ya waliofanya vizuri ila hajaweka ya waliofanya vibaya, au hakuna aliyefeli?
Aiseeee, mambo magum sana, jaribuni kupunguza gharama hizo za kufundisha, lengo ni kukwamuana kiuchumi sio kukusanya pesa, binafsi hali yangu kwa sasa sio nzuri nmejitahid kusoma vitabu, ila nahis nahitaj maelekezo kias ili nijiunge
Sasa ndugu unataka jamaa wakukwamue kwenye mkwamo wa uchumi bure? Kwa gharama zao?Aiseeee, mambo magum sana, jaribuni kupunguza gharama hizo za kufundisha, lengo ni kukwamuana kiuchumi sio kukusanya pesa, binafsi hali yangu kwa sasa sio nzuri nmejitahid kusoma vitabu, ila nahis nahitaj maelekezo kias ili nijiunge
Duh! Toka mwaka uanze post ya kijinga nloiona hiiii! Sasa kama hujui shughuli za kiuchumi ndo sehem ambayo watu wanakwamuana bure kabisa, anaweza nikopa elimu nkaja kumrudishia badae nkishaanza biashara,Sasa ndugu unataka jamaa wakukwamue kwenye mkwamo wa uchumi bure? Kwa gharama zao?
Kwanini usiililie serikali kulikoni kuwalilia hawa watafutaji kama wewe?
Jipe moyo pambana utaweza kuhudhuria
Acha kulia lia mtoto wa kiume..elimu haikopeshwiDuh! Toka mwaka uanze post ya kijinga nloiona hiiii! Sasa kama hujui shughuli za kiuchumi ndo sehem ambayo watu wanakwamuana bure kabisa, anaweza nikopa elimu nkaja kumrudishia badae nkishaanza biashara,