Mrejesho kuhusu Forex Trading: One step at a time, Safari ndio imeanza rasmi

Much appreciations kwa brother Ontario na ndugu wengine wote akiwemo AMLIGHT kwa kutuenlight sisi ndugu zenu Watanzania tuliokuwa hatuna mwanga juu ya Forex trading. Leo few of us tunasurvive nje ya mishahara yetu na tunaziua liabilities kibao na kuproject assets mbele yetu through forex.
Waache wanaoamini Forex ni pesa za kudownload wandelee kusuffer katika hilo kwa maana Forex sio biashara ya kila mtu.
Am proud now i achieve alot through trading.
Amani ya mwenyezi Mungu iwe pamoja nanyi na mbarikiwe saana Ndugu zangu.
 
Much appreciations kwa brother Ontario na ndugu wengine wote akiwemo AMLIGHT kwa kutuenlight sisi ndugu zenu Watanzania tuliokuwa hatuna mwanga juu ya Forex trading. Leo few of us tunasurvive nje ya mishahara yetu na tunaziua liabilities kibao na kuproject assets mbele yetu through forex.
Waache wanaoamini Forex ni pesa za kudownload wandelee kusuffer katika hilo kwa maana Forex sio biashara ya kila mtu.
Am proud now i achieve alot through trading.
Amani ya mwenyezi Mungu iwe pamoja nanyi na mbarikiwe saana Ndugu zangu.
Hongera mkuu waache wanaoamini forex ni ujanja ujanja waendelee kuamini hivyo wakija kushtuka kumeshakucha
 
Click hii link hapo chini kwa ajili ya kuexchange views and ideas juu ya Cryptocurrency issue kwenye group letu la WhatsApp..Bitcoin and all altcoins will be highly discussed.

Njooni tujadili kinaubaga juu ya taaluma hii adhimu ya Cryptocurrency. Bonyeza lonk hii hapa kufiia kilingeni. Forex /blockchain EA:
 
Salute bosses

Awali ya yote ningeomba nitoe shukrani zangu za dhati kwa team nzima ya Jamii Forums. Bila hii platform kiuhalisia wengi wetu wangekua bado wapo gizani, nisingekua inspired kushare hii knowledge, apparently tusingefika hapa tulipofika.

Pili, nitoe shukrani kwa serikali na taasisi zake kwa kazi nzuri wanayofanya. Jumatano wiki iliyopita, maafisa kutoka idara kadhaa walitutembelea ofisini ili kuweza kufahamu uhalisia wa tunachokifanya. Kiukweli walifanya kazi yao kwa professionalism ya hali ya juu sana zaidi ya matarajio yetu. Tulizungumza mambo mengi sana ikiwemo kupokea ushauri for the betterment of our operations.

Zaidi ya yote nitoe 5 kwa wote walioregister kwaajili ya forex mentorship and coaching programme inayoendelea ofisini kwetu TMT. Mmekua nasi ktk kipindi kigumu hadi sasa na kwakweli tuna furaha sana kwamba wanafunzi wa kwanza walioanza mafunzo wamekamilisha jana, na hii ni 1 ya feedback niliyopokea.

Morning SJ, I would like to thank you for last and this week's thorough and well organized training. The material was very interesting and the discussions were truly inspiring. I particularly enjoyed the visual illustrations, which made the content easily understandable.
f0a83c7b5c52a4478228a4f1f36c623d.jpg


Uzuri ni kwamba baada ya training ya darasani sasa tunaingia kwenye real global financial markets business, nitawashika mkono through the whole journey for a life time, kila kitu kuanzia stocks, indices, foreign currencies, commodities, precious metals nk nk. That's the only way we can make history together.

Safari imeanza

Mwanzo wakati naitroduce hii fursa ya global financial markets watu wengi walinibeza kwa kejeli na matusi. Jibu langu lilikua rahisi sana I will keep quiet until results start talking on my behalf. Wanafunzi waliomaliza jana darasa, tulitrade nao live darasani jana ijumaa.

Hizi ni baadhi tu ya hizo results nilizokua nasema tusubiri ziongee.

90108ba6749c1a09de6a95239c960d26.jpg
Huyu ni mwanafunzi aliyefungua account ya $100 sawa na 224,000 lkn jana pekee kapata faida ya $23 sawa na 54,000. Let's be honest, biashara gani itakupa faida hiyo kwa ratio ya mtaji huo. Mfano mzuri ni mtu aliyenunua boxer, anabidi awe na mtaji wa 2.5 mil na kwa siku hesabu yake ni elfu 10 tu.

6a205701623ecf122763ee4a309fd1d0.jpg

Huyu nae ni mwanafunzi aliyeanza kutrade jana. Imagine kwa mtaji wa 555,000 ndani ya siku 1 tayari kaingiza profit ya 123,000.

dac7dd9144f641e91048cfb775e560db.jpg
Huyu alifungua account ya GBP (Great Britain Pound), ambayo roughly thamani yake ni 200,000 lkn jana pekee yake kapata faida ya 70,000

5efad3a58459299c04da69da67413098.jpg

Huyu nae jana pekee yake kalala na 160,000 kama faida.

5122807b61e1a90da34a4623b7743fca.jpg

Huyu nae alianza jana tu lkn utaona ana faida ya laki 1 in one day. Mtu mwenye coaster anayefanya biashara ya daladala anakula faida ya 80,000 kwa siku na service kibao.

Sasa kuna watu walikua wanapiga kelele kwamba tunacharge elfu 65, and it's clear wanafunzi wengi jana pekee yake wamepata faida zaidi ya mara 2 ya pesa waliolipia kwaajili ya training. Knowledge is EXPENSIVE anywhere on earth, nimesoma UDSM, mpk namaliza mkopo wa heslb ulikua almost mil 15. But mtu akiajiriwa hakuna miracle itatokea aweze kurudisha hiyo pesa in 3 years. Lkn kwa knowledge ninayoitoa mtu anarudisha fees ndani ya siku

Week ijayo tunaanza na wanafunzi wengine 100 kuanzia J3 hadi Ijumaa. The process goes on and on hadi ifike muda kua asilimia 40 ya vijana wanaweza kutrade global financial markets na kutumia knowledge watakayoipata kubadili uchumi wao.

Offer niliyotangaza ya kuchangia 65,000 imeisha, na sasa charges will apply. From now onwards baada ya wanafunzi 300 wa mwanzo kila atakayekuja itabidi ilipie fees ya 130,000. With this money utapata vifuatavyo;-

●1 week training about global financial markets

●Live trading during classes kama tulivyofanya na wanafunzi waliopita

●lifetime coaching, tutatrade pamoja all the time when we trap a trading opportunity in the market. Tutadiscuss pa1 charts analysis kila fursa inapoappear. (This is the best offer you will ever receive in ur trading career).

●Ukipata tatizo lolote, the office is open to help you all the time. Come through and you'll thank me later.

Office ipo Oysterbay, Jangid Plaza floor no. 2 office number 211. Ali Hassan Mwinyi, mkabala na Protea Hotel ya Oysterbay, right away mbele ya mataa ya St. Peters. Kama mtu anatumia public transport basi kituo kinaitwa Mbuyuni. Namba ya ofisi ni 0754 311 568.
ebb110d984fe6e6b2dd14075af906c3e.jpg

HAPA KWANGU NO ONTARIO WALA CHA MENTOR MAMBO SAFI KAMA KAWAIDA

indicator 100%.JPG


deal done.JPG
 
Salute bosses

Awali ya yote ningeomba nitoe shukrani zangu za dhati kwa team nzima ya Jamii Forums. Bila hii platform kiuhalisia wengi wetu wangekua bado wapo gizani, nisingekua inspired kushare hii knowledge, apparently tusingefika hapa tulipofika.

Pili, nitoe shukrani kwa serikali na taasisi zake kwa kazi nzuri wanayofanya. Jumatano wiki iliyopita, maafisa kutoka idara kadhaa walitutembelea ofisini ili kuweza kufahamu uhalisia wa tunachokifanya. Kiukweli walifanya kazi yao kwa professionalism ya hali ya juu sana zaidi ya matarajio yetu. Tulizungumza mambo mengi sana ikiwemo kupokea ushauri for the betterment of our operations.

Zaidi ya yote nitoe 5 kwa wote walioregister kwaajili ya forex mentorship and coaching programme inayoendelea ofisini kwetu TMT. Mmekua nasi ktk kipindi kigumu hadi sasa na kwakweli tuna furaha sana kwamba wanafunzi wa kwanza walioanza mafunzo wamekamilisha jana, na hii ni 1 ya feedback niliyopokea.

Morning SJ, I would like to thank you for last and this week's thorough and well organized training. The material was very interesting and the discussions were truly inspiring. I particularly enjoyed the visual illustrations, which made the content easily understandable.
f0a83c7b5c52a4478228a4f1f36c623d.jpg


Uzuri ni kwamba baada ya training ya darasani sasa tunaingia kwenye real global financial markets business, nitawashika mkono through the whole journey for a life time, kila kitu kuanzia stocks, indices, foreign currencies, commodities, precious metals nk nk. That's the only way we can make history together.

Safari imeanza

Mwanzo wakati naitroduce hii fursa ya global financial markets watu wengi walinibeza kwa kejeli na matusi. Jibu langu lilikua rahisi sana I will keep quiet until results start talking on my behalf. Wanafunzi waliomaliza jana darasa, tulitrade nao live darasani jana ijumaa.

Hizi ni baadhi tu ya hizo results nilizokua nasema tusubiri ziongee.

90108ba6749c1a09de6a95239c960d26.jpg
Huyu ni mwanafunzi aliyefungua account ya $100 sawa na 224,000 lkn jana pekee kapata faida ya $23 sawa na 54,000. Let's be honest, biashara gani itakupa faida hiyo kwa ratio ya mtaji huo. Mfano mzuri ni mtu aliyenunua boxer, anabidi awe na mtaji wa 2.5 mil na kwa siku hesabu yake ni elfu 10 tu.

6a205701623ecf122763ee4a309fd1d0.jpg

Huyu nae ni mwanafunzi aliyeanza kutrade jana. Imagine kwa mtaji wa 555,000 ndani ya siku 1 tayari kaingiza profit ya 123,000.

dac7dd9144f641e91048cfb775e560db.jpg
Huyu alifungua account ya GBP (Great Britain Pound), ambayo roughly thamani yake ni 200,000 lkn jana pekee yake kapata faida ya 70,000

5efad3a58459299c04da69da67413098.jpg

Huyu nae jana pekee yake kalala na 160,000 kama faida.

5122807b61e1a90da34a4623b7743fca.jpg

Huyu nae alianza jana tu lkn utaona ana faida ya laki 1 in one day. Mtu mwenye coaster anayefanya biashara ya daladala anakula faida ya 80,000 kwa siku na service kibao.

Sasa kuna watu walikua wanapiga kelele kwamba tunacharge elfu 65, and it's clear wanafunzi wengi jana pekee yake wamepata faida zaidi ya mara 2 ya pesa waliolipia kwaajili ya training. Knowledge is EXPENSIVE anywhere on earth, nimesoma UDSM, mpk namaliza mkopo wa heslb ulikua almost mil 15. But mtu akiajiriwa hakuna miracle itatokea aweze kurudisha hiyo pesa in 3 years. Lkn kwa knowledge ninayoitoa mtu anarudisha fees ndani ya siku

Week ijayo tunaanza na wanafunzi wengine 100 kuanzia J3 hadi Ijumaa. The process goes on and on hadi ifike muda kua asilimia 40 ya vijana wanaweza kutrade global financial markets na kutumia knowledge watakayoipata kubadili uchumi wao.

Offer niliyotangaza ya kuchangia 65,000 imeisha, na sasa charges will apply. From now onwards baada ya wanafunzi 300 wa mwanzo kila atakayekuja itabidi ilipie fees ya 130,000. With this money utapata vifuatavyo;-

●1 week training about global financial markets

●Live trading during classes kama tulivyofanya na wanafunzi waliopita

●lifetime coaching, tutatrade pamoja all the time when we trap a trading opportunity in the market. Tutadiscuss pa1 charts analysis kila fursa inapoappear. (This is the best offer you will ever receive in ur trading career).

●Ukipata tatizo lolote, the office is open to help you all the time. Come through and you'll thank me later.

Office ipo Oysterbay, Jangid Plaza floor no. 2 office number 211. Ali Hassan Mwinyi, mkabala na Protea Hotel ya Oysterbay, right away mbele ya mataa ya St. Peters. Kama mtu anatumia public transport basi kituo kinaitwa Mbuyuni. Namba ya ofisi ni 0754 311 568.
ebb110d984fe6e6b2dd14075af906c3e.jpg
i real like to belive you but that tradeding station it might be a demo and you can show us edited version. the only way to know buy bank statment when the person tranfers his money the we can say yes i did it and make money.
 
i real like to belive you but that tradeding station it might be a demo and you can show us edited version. the only way to know buy bank statment when the person tranfers his money the we can say yes i did it and make money.
Hivi kunawatu bado hawaamini okay itakua demo tukubaliane hivyo
 
Vipi bado mnaendelea vizuri na huyu ONTARIO????
au ndo tayari mshaisoma namba?? Maana naona kimyaaa sanaaaa.
Hahahahahaha..
 
FEW IMPORTANT LINKS:

FOREX TRADERS OF TZ:
Forex Traders Tz

FREE FOREX CLASSES:
SIMPLE FOREX STRATEGY GROUP

FREE FOREX BOOKS:
FX Trading Books

FREE FOREX SIGNALS:
+255MillionairesFX

FREE FOREX SIGNALS:
FreeForexSignals

TEMPLER BROKER:
Templer FX Trader

PEPPERSTONE BROKER:
Pepperstone - Australia's Fastest Forex Broker

TICKMILL BROKER:
Tickmill - Trade With First Class Forex Broker

FBS $50 NO DEPOSIT BONUS :
FBS $50 Welcome Bonus - Forex

HOW TO USE DUSUPAY (ONCE WAS TICKMILL MOBILE FUNDING METHOD):


FOREX VIDEO: THE SIGNS:
 
ANZA NA MTAJI WA BURE WA $30 [NO DEPOSIT BONUS] YA TEMPLER.


[TERMS AND CONDITIONS LINKED]


Huenda ushatumia demo lakini uko na tatizo la mtaji... Au wengine, kama mimi, tumeunguza akaunti, jinsi ya kuanza tena ni ngumu, hasa linapokuja suala la mtaji....


Ikumbukwe kwamba, Templer pia atakupa uwezo wa kufund na kuwithdraw pesa zako kupitia Mpesa, kama utachagua kuendelea kumtumia, hata baada ya kupoteza hyo $30.


(Don't Worry, Hautodaiwa kama ukiiunguza)


ANGALIZO:

Bonus hii ni kwa wateja wapya tu, kama ulishakuwa na akaunti ya Templer na ukaiwekea pesa, hautoweza kuipata, labda ufungue akaunt tofauti.



HATUA ZA KUFUATA:

1. Fungua akaunti mpya hapa:


Templer FX | Start with $30 No deposit Bonus


2. Verify email, namba ya simu (ni bora iwe voda, kwa ajili ya kutoa faida na kuendesha akaunti) na utambulisho wako.

Menu > MyTemplerFX> Verifications


3. Nenda MENU > OPEN ACCOUNT > chagua LIVE UNIVERSALFX > ok


4. Nenda Menu > Bonus > chagua akaunti yako ya universalFX, WEKA REDEEM CODE:


NDB30JN42017


Then submit.


5. Utapokea $30 katika akaunti uliyoifungua, mara nyingi within an hour.


6. Kama huna MT4 for Android ,download hapa:


https://play.google.com/store/apps/details?id=net.metaquotes.metatrader4


Start Trading!!

TRADE SAFELY!



Ukihitaji msaada wowote kuhusu kuipata hii bonus, nicheck inbox




Terms And Conditions hapa:


TemplerFX No Deposit Bonus Agreements
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.

JISAJILI SASA
Usisite kuomba msaada

TemplerFX | Promo
 
BROKERS WITH MOBILE MONEY DEPOSIT/WITHDRAWS.

Ukiachana na Templer ( https://templerfx.com ), kuna broker mpya kutoka South ambaye naye amekuja na staili hii ya Mobile Money Deposit/Withdraws.

Broker huyu anayeitwa CIFX Markets ( https://secure.cifxmarkets.com/live-account-register), ameenda mbali zaidi, kwa kuruhusu deposits na withdraws kupitia mitandao tofauti. Kwa sasa anasupport Vodacom Mpesa, Tigo pesa na Airtel money.

Lakini tofauti na Templer, huyu ana minimum amount ya $200.

Kikubwa anachomzidi templer ni spreads.... Hapa, ni hatari!
I hope I'll get to use this broker...

Screenshot_20180427-105554.jpg
IMG_20180427_174644_892.jpg
 
BROKERS WITH MOBILE MONEY DEPOSIT/WITHDRAWS.

Ukiachana na Templer ( https://templerfx.com ), kuna broker mpya kutoka South ambaye naye amekuja na staili hii ya Mobile Money Deposit/Withdraws.

Broker huyu anayeitwa CIFX Markets ( https://secure.cifxmarkets.com/live-account-register), ameenda mbali zaidi, kwa kuruhusu deposits na withdraws kupitia mitandao tofauti. Kwa sasa anasupport Vodacom Mpesa, Tigo pesa na Airtel money.

Lakini tofauti na Templer, huyu ana minimum amount ya $200.

Kikubwa anachomzidi templer ni spreads.... Hapa, ni hatari!
I hope I'll get to use this broker...

View attachment 758113View attachment 758114
Mkuu huyu jamaa mbona kweny mt4 simuon? Uli msearch kwa jina gan? Nmeandika cifx simpati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom