Kwa Bahi ni hasara tu (Yani unakuwa Kama unacheza kamari) Safari hii watu hawajapata kabisaHongera mkuu.
Kilimo cha mpunga kinachukua mda gani hadi kuvuna?
Na gharama zake je?
Kwa maeneno mengine je?Kwa Bahi ni hasara tu (Yani unakuwa Kama unacheza kamari) Safari hii watu hawajapata kabisa
Kama Kyela ni uhakika 100%Kwa maeneno mengine je?
Na he inawezekana kutumia kilimo cha umwagiliaji?
Asante, inategemeana na aina ya mbegu uliyopanda, Kuna mbegu zinaiva ndani ya siku 90 na 120 lkn pia Hali ya hewa inaweza kusababisha mpunga wako ukachelewa kukomaa, Kama ukilima mbegu moj wanaipenda sana hapa bahi, inaitwa NGANYARO, yenyewe huwa inarefuk tu maji yanapozidi kuwepo, inaweza fikia hata fut 5 kabisa, ila punde maji yanapokauka inabadilika rangi na kukomaa ndani ya siku chcahe tu.Hongera mkuu.
Kilimo cha mpunga kinachukua mda gani hadi kuvuna?
Na gharama zake je?
Tena Bora yako Kuna wengine hawajapata kabisa, ndio maana nimesema hap awali, kun wengine hawajarudisha hata mbegu, ila amini nakuambia mpunga n moj ya zao lenye roho ngum sana.Mkuu una bahati Sana. Mimi nimelima ekari 3 nimepata gunia 4 tu.
Hongera, lakini huwa naona wafanyabiashara wa mazao ndo wanatajirika sijawahi kuona mkulima akitajirika.Jembe halimtupi mkulima , huu msemo umetamalaki sana hapa kwetu tz, lakini Mara kadhaa huwa unakuwaga na ukweli ndani yake.
Msimu wa 2018/19 nilijaribu kulima mpunga bahi hekari 5, japo nilikodi hekari 12 na kuzitifua zote kwa trekta, ila nikakumbana na ukame wakat napandikiza. Nilifanikiwa kuoandikiza mashamba matano tu, maji yakawa yameisha, hivyo nikawa Sina jinsi.
Si haba katika heka hizo tano nimeweza kurudisha mbegu, nimepata magunia 54, yenye ujazo wa debe saba Saba 7,7. Kiukweli nashukuru San mungu Kwan mwaka huu ulikuwa na changamoto sana. Wngine hawakuweza KUVUNA kabisa hata Lita moja.
Nimezidi kunifunza mengi katika kilimo ndugu zangu, wakati mm nimepata vigunia 54, Kuna mtu kapata migunia 400, na mwingine migunia 600, hivyo ukiwa kupanda uhakika wa kupiga pesa kupitia kilimo INAWEZEKANA.
Nimeona si haba niwaletee mrejesho wananzengo kwani Kuna baadhi ya wanajf walitaka mrejesho Mara baada ya kutoka shambani.
Picha hizi hapa.
View attachment 1148431View attachment 1148432View attachment 1148433View attachment 1148434View attachment 1148435View attachment 1148436View attachment 1148437View attachment 1148438View attachment 1148440View attachment 1148444
Siwez kupingana na hoja yako mkuu, kwa kuwa sijafanya utafiti, lakin ukima kwa mazoea utaendelea kulalamika Kila kukicha, mfano gania saiv la mpunga lenye ujazo wa debe 6, linaizwa 55k-65k lkin ukikoboa mashineni gunia Hilo Hilo unauza kwa 84k na mashine ziko karibu hapo na napo panahitaji degree kuelewa? Halafu chief wote tukiwa matajiri vibarua tutatoa wapi? Maisha n kutegemean tu bossHongera, lakini huwa naona wafanyabiashara wa mazao ndo wanatajirika sijawahi kuona mkulima akitajirika.