Wana JF,
Tarehe 20/10/17 niliandika mada hii: Duniani kuna mengi sikutegemea hili kunipata
Sasa leo hii hapa ninaleta mrejesho wa mada hiyo, kama ifuatavyo
Samahanin sana sikuweza kujibu kwa mda wote huo, ukweli kabisa mambo hayakuwa mazuri nilipata sana matangazo ya biashara za tiba asilia juu ya tatizo langu ,samahani kwa wale waliokuwa na nia njema ya kunisaidia lakini mawasiliano yakasumbua hilo tatizo nimeshaliondoa.
kwa ujumla bado naishi na tatizo langu ni kama nimeshalizoea hivi japo ningependa kupata msaada wa kuondokana nalo.
Tarehe 20/10/17 niliandika mada hii: Duniani kuna mengi sikutegemea hili kunipata
Sasa leo hii hapa ninaleta mrejesho wa mada hiyo, kama ifuatavyo
Samahanin sana sikuweza kujibu kwa mda wote huo, ukweli kabisa mambo hayakuwa mazuri nilipata sana matangazo ya biashara za tiba asilia juu ya tatizo langu ,samahani kwa wale waliokuwa na nia njema ya kunisaidia lakini mawasiliano yakasumbua hilo tatizo nimeshaliondoa.
kwa ujumla bado naishi na tatizo langu ni kama nimeshalizoea hivi japo ningependa kupata msaada wa kuondokana nalo.