Mrejesho: Biashara ya "Bonanza la Mchina"

Mrejesho: Biashara ya "Bonanza la Mchina"

Sasa mkuu ni me ku pm, nime QUOTE, ili unipe tu mawasiliano na jamaa, imekuwa ngumu, utadhania naomba URAI WA USA!!!?? hiyo ni kampuni ambayo ina hitaji wateja ili izidi kukua, kutoa mawasiliano tu ni tabu, je ningekuwa naomba wazo lako la biashara ingekuwaje?!!
Samahani sikuwa hewani muda mrefu. Nimekujibu pm
 
Nd
Duh kwa hiyo kama unataka wakuachie vifaa ni wanakulipa nusu hadi waondoke na wanaondoka lini ndo haijulikani?
Ndio

Ila kwa ushauri bora wakulipe yote maana malipo ni mazuri.
Ukikaa hadi waondoke utaingia loss maana vifaa havizidi 250
 
Hongera mkuu, lakini naona ni mapema sana kuleta mrejesho

Hapo kwenye jamaa wanapiga sana hela, kuna kinyume chake watu wa aliwa sana hela
Mkuu.

Ni muda sahihi.

Mzunguko ni mzuri kwa sasa nalipwa baada ya siku 5-6 sh 50-60.

Jamaa wanapiga ela ndefu sana.
Hadi leo hesabu inakaribia mil 4 na tumeanza tar 23 may.
Hii Ni mashine 1 .
Rais wanaliwa sana
 
Hadi waondoke haijulikani wanaondoka ln
Mkuu kuna kitu bado sijaelewa jinsi hiyo biashara inavyofanyika.

Yaani kwa mfano ndio umeanza kuchezesha huo mchezo ukapata wateja wakaingiza hela humo kwenye hiyo mashine(ukiwapuna hela) hizo pesa baadae ukizitoa zote zinakuwa za kwako wewe au zinakuwa za kwao hao jamaa walioleta mashine au mnagawana?na kama mnagawana za kwako ni asilimia ngapi?
 
Mkuu kuna kitu bado sijaelewa jinsi hiyo biashara inavyofanyika.
Yaani kwa mfano ndio umeanza kuchezesha huo mchezo ukapata wateja wakaingiza hela humo kwenye hiyo mashine(ukiwapuna hela) hizo pesa baadae ukizitoa zote zinakuwa za kwako wewe au zinakuwa za kwao hao jamaa walioleta mashine au mnagawana?na kama mnagawana za kwako ni asilimia ngapi?
Ni zake wewe unalipwa 15%
 
Hiyo ni safi kama sehemu ina vijana wengi wanaopenda huo mchezo.
Maana yake ukiingiza 100000 kwa siku yako ni 15000 sio mbaya.
Piga hesabu ya pic 1,000 kwa siku. Hapo siku 2 una 2,000ambyo ni laki nne ambayo wewe unalipwa ni 60,000
 
Kama ni hivyo kumbe ni bonge la biashara. Kwa hiyo mtaji wako ni kupata fremu tu,na je kuna ulazima kwenye hiyo fremu kuwe na bar au glocery au sio lazima?

Na ukishaanza hiyo biashara kuna ulazima wa kuisimamia masaa yote au inajiendesha yenyewe tu halafu jioni unakuja kufungua na kuchukua pesa tu?
 
kama ni hivyo kumbe ni bonge la biashara.
Kwa hiyo mtaji wako ni kupata fremu tu,na je kuna ulazima kwenye hiyo fremu kuwe na bar au glocery au sio lazima?Na ukishaanza hiyo biashara kuna ulazima wa kuisimamia masaa yote au inajiendesha yenyewe tu halafu jioni unakuja kufungua na kuchukua pesa tu?
Sio lazima iwe maeneo hayo ya bar, hata kwenye frem, tu, ila lazima pawe na msimamizi wa kutoa chenchi kwa wanaocheza, kwani jamaa wanakuachia coins za 200,kama za elfu 60,ili zisaidie kwenye utoaji chenchi, kwani bila kuwa na chenchi, biashara inakuwa ngumu.
 
Hapo sawa nimekupata
Sio lazima iwe maeneo hayo ya bar, hata kwenye frem, tu, ila lazima pawe na msimamizi wa kutoa chenchi kwa wanaocheza, kwani jamaa wanakuachia coins za 200,kama za elfu 60,ili zisaidie kwenye utoaji chenchi, kwani bila kuwa na chenchi, biashara inakuwa ngumu.
 
Sio lazima iwe maeneo hayo ya bar, hata kwenye frem, tu, ila lazima pawe na msimamizi wa kutoa chenchi kwa wanaocheza, kwani jamaa wanakuachia coins za 200,kama za elfu 60,ili zisaidie kwenye utoaji chenchi, kwani bila kuwa na chenchi, biashara inakuwa ngumu.
Ila sheria inataka liwe baa ila tunafoji
 
Kama ni hivyo kumbe ni bonge la biashara. Kwa hiyo mtaji wako ni kupata fremu tu,na je kuna ulazima kwenye hiyo fremu kuwe na bar au glocery au sio lazima?

Na ukishaanza hiyo biashara kuna ulazima wa kuisimamia masaa yote au inajiendesha yenyewe tu halafu jioni unakuja kufungua na kuchukua pesa tu?
Sheria inataka liwe baa ila tunafoji.

Ni lazima awepo msimamizi muda wote. Maana coin zinatembea sana
Hupewi wewe funguo ya hapo ni lazima wakala awe anakuja kwa ratiba yenu.
Mtaji andaa kulingana na mahitaji. Tyr 2 ni 120. Mtu mmoja anaweza kula hadi 100. Pia akachukua kete za 60 Kama mtaji wako ni try 1 utakwama
 
Sheria inataka liwe baa ila tunafoji.

Ni lazima awepo msimamizi muda wote. Maana coin zinatembea sana
Hupewi wewe funguo ya hapo ni lazima wakala awe anakuja kwa ratiba yenu.
Mtaji andaa kulingana na mahitaji. Tyr 2 ni 120. Mtu mmoja anaweza kula hadi 100. Pia akachukua kete za 60 Kama mtaji wako ni try 1 utakwama
Hii biashara ni nzuri ukiwa nalo ukawa ww ndo mmiliki aisee hii kitu ni zaidi ya chuma ulete
 
Back
Top Bottom