Keneth
Senior Member
- Sep 29, 2011
- 195
- 47
asanteee saaanayaani hapo mpka ukapewe barua na chuo husika ndipo uipeleke Tcu wakuruhusu kuapplly.
asanteee saaanayaani hapo mpka ukapewe barua na chuo husika ndipo uipeleke Tcu wakuruhusu kuapplly.
jaribu kuicheki youtube hyo taarifaHiyo 24 mbona sijaiona
Mwaka huu ni shida,siasa imetamalaki
Huu muda sio wakulaumiaana, wafanye maamuzi sahihi kuhusu maishaa...wasikurupuke kudahiliwa tu university baadae mtu akaja jutia hata kozi isieleweka.siasa kivipi? kwani kuna mtu alishikwa nguvu ajaze chuo fulani?
Sifa ya kusoma chuo unayo yaani at least four points from two principle subjects.Jamani nina CEES form six yaani div.3 ya 13 je naweza apply upya chuo au.maana nilisha maliza lakini nataka kusoma degree mpya
Wanaume tunapoongea unatakiwa kukaa kimyasiasa kivipi? kwani kuna mtu alishikwa nguvu ajaze chuo fulani?
sio D mbil ni cuts off point4. ..so vigezo anavyo mkuu sababu kafikisha pointpole viwango vimebadilika at least 2D.....,PRINCIPAL NI D
asante kkumbukeni ni matokeo ya zamani na sio haya mapya. ngoja nifanye mchakamchaka kujaza huu muda uliobakisio D mbil ni cuts off point4. ..so vigezo anavyo mkuu sababu kafikisha point
Asante saana nataka kusoma Procurement in logisticSifa ya kusoma chuo unayo yaani at least four points from two principle subjects.
Chamsingi unapoomba uwe makini kusoma vigezo maalumu kwa kozi unayotaka kuomba. Kuna wanaotaka at least a D for two subjects, hizo usiombe maana wewe japo una pointi 4 kwenye masomo mawili lakini somo moja hujafikisha D!
Hivyo busara katika kujaza uchaguzi wako ndio utakaoamua kama utapata au la!
bro kasome guide book vizuri at least 2D ata system itakukataa not passedasante kkumbukeni ni matokeo ya zamani na sio haya mapya. ngoja nifanye mchakamchaka kujaza huu muda uliobaki
Waliokosa sifa za kujiunga na vyuo vikuu ni 8144 tu. Hawa hata hii awamu ya pili hawatakiwi kuomba tena. Wasubiri tu mwakani wakasome diplomaNdugu zangu bado sijailewa taarifa iliyotolewa
Mwanzoni kasema waliokosa ni 16 elf na ushee ambao Wana sifa Baadae kasema ambao wamekosa vyuo na ambao Wana sifa ni 24 elf na ushee
Je Kuna majina ambao vyuo wamewakataa au?
Nielewesheni ndugu
Ok lakini sijafikiria chuo cha serikali mmKuna vyuo like RUCU Iringa kina nafasi watu waaply hata vya private kuliko kukosa kabisa
By then hiyo four points ni minimum entry requirement. Sio kila mwenye D D anaweza omba chuo chochote No kila chuo kina cut point yakeAsante saana nataka kusoma Procurement in logistic