Mrejesho: Atafia mikononi mwangu

Mrejesho: Atafia mikononi mwangu

Ninachoamini, wewe ni bright na unaweza ukawa ni daktari kweli, ila ni mp.u.u.zi na sijui Kama maadili ya kutunza siri za wagonjwa unayatiii Kama siri zako tu unafunguka Hivi????
Na kwa jinsi ulivyoelezea unafanya kazi kwenye hospitality kubwa tu inamaana wamekuamini so you r good upstairs, ila hauna elimu mtaa.
Mimi yangu ni hayo tu nakuomba ujitafakari
 
Kwanza natoa shukrani za dhati kwa wote waliochangia mawazo yao katika mkasa ulionitokea kazini, pia niwatoe wasiwasi wliofikiri kua ni simulizi tu. Nirudi kwenye mada. Baada ya kuwaza sana huku nafsi yangu ikinituma jamaa nimchome sindano ya sumu, nimuoverdose au nimnyonge kabisa niliamua kutekeleza wajibu wa kazi yangu.

Niliandika barua ya kusitisha rikizo yangu ambayo ingeanza siku mbili baadae ili nishiriki kikamilifu katika kuhakikisha anapona huku mke wake ambae ni binti mdogo tu, ndugu jamaa na marafiki wakisistiza tuwape uhakika kama mgonjw wao atapona au waruhusiwe kumpeleka nje ya nchi .

Siku ya Jumatatu tarehe 26 mwezi wa tano alipata nafuu na kuhamishwa kutoka chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU). Kipindi chote nmekua karibu nae nikijaribu kumdadisi. Nafikiria kumwambia pamoja na kuokoa maisha yake lakini alimuua rafiki yangu roho inasita, nataka nilipeleke swala hili katika vyombo vya usalama ili sheria ifuate mkondo wake ila pia naona huenda ukakosekana ushahidi wa kutosha kumtia hatiani.

Kinachoniuma ni kua pamoja na kua ni miaka imepita tangu rafiki yangu auawe kuna uhasama mkubwa kati ya familia yetu na familia ya marehemu rafiki yangu nikihusishwa na kifo chake, pia maisha duni inayoishi familia ya Marehemu kwani yeye ndiye kijana aliyetegemewa asome ili aikomboe familia yao na kinachoniuma zaidi ni misukosuko mingi niliyopitia baada ya kifo cha rafiki yangu hadi leo. Yani Dr. MO nimechanganikiwa.

HADITHI INAANZIA HAPA
Inamaana we ni Dr MO wa hapa muhimbili
 
Ninachoamini, wewe ni bright na unaweza ukawa ni daktari kweli, ila ni mp.u.u.zi na sijui Kama maadili ya kutunza siri za wagonjwa unayatiii Kama siri zako tu unafunguka Hivi????
Na kwa jinsi ulivyoelezea unafanya kazi kwenye hospitality kubwa tu inamaana wamekuamini so you r good upstairs, ila hauna elimu mtaa.
Mimi yangu ni hayo tu nakuomba ujitafakari

humu jf kuna wengi!

Haya ndugu huyu anaye tuadithia ni nani?

Rafiki yake aliyeuliwa ni nani?

Anafanya kazi wapi?

Ukijibu hayo maswali kweli lawama zako za unethical zimfikie ila ukishindwa jiulize we ni nani?
 
Pole Dr. Kwa kuwa umeona kumpekeka ktk sheria ushahidi hautatosha, ni bora unyamaze milele na hata huyo mgonjwa asielewe chochote. Mungu akupe wepesi ktk wakati huu mgumu
 
humu jf kuna wengi!

Haya ndugu huyu anaye tuadithia ni nani?

Rafiki yake aliyeuliwa ni nani?

Anafanya kazi wapi?

Ukijibu hayo maswali kweli lawama zako za unethical zimfikie ila ukishindwa jiulize we ni nani?[/QUOTE
Sasa nijiulize Mimi ni nani ili iweje? Mi nimetoa mtazamo wangu Kwa kuunganisha matukio, na sihitaji kumjua mtoa mada ni nani na mgonjwa ni nani na Wewe ni nani.
 
Kwa Ushauri wangu hawa watu huwa hawana utu ungedisturb brain yake awe taahira tu no Kuua
 
Back
Top Bottom