Mrejesho, alidai hana hisia.

Wakuu habari za muda huu, kuna thread moja niliwahi post kwenye love connect nikitafuta wangu wa moyo.

Bahati nzuri kati ya wakiokuja nilikongwa nyoyo na binti mmoja (30yrs) safii alinipendeza moyoni na machoni, tukaweka appointment tukakutana mawasiliano yakaendelea charting hadi usiku wa manane.

Niliona nimepata kabisa nikaanza kuzidisha romantic kicks cha ajabu siku moja ananmbia amependa niwe rafiki yake tu sababu HANA HISIA ZA MAPENZI NA MIMI daaah! Niliumia sana nikasema isiwe tabu nikanyamaza hadi sasa.

Anyway, nishauri tu kuwa tunapotafuta au kutafutwa ukijirokeza uwe serious maana mtu hadi aache wengine aje kwako tayari utafanya akuone haupo serious una yumba na maisha.

Niliwaza either hajanipenda au ni kudeka kimapenzi ? Sasa kwa kuwa mimi sihitaji kipoteza muda nikaona huyu sio fungu langu otherwise alikuja kwa lengo jingine.

Tubadilike tuwe.wawazi kama mtu hujamwelewa/hujampenda mchane makavu tu na ndo maana ya kupeana mawasiliano kuonana na kutumiana picha.

Naamini ataona huu Uzi but unisamehe kama.nitakukwaza.

Nawasilisha.
Afadhali ya kwako mm nilikuwaga na mmoja miaka kadhaa nyuma tuliwasiliana vizuri japo hatukuwah kuonana lakini hv visent vidogo vidogo nilimpa sana Tena sana hd rent ya nyumba alipata pale alipokwama yey hakuwa mvumilivu kwangu coz mm nilikuwa movement nying sana muda wa kumt ukawa mdogo ila nikamwambia usijar tutakuwa wote soon siku napiga simu anapokea kidumu jamaa akawa anakoroma nikamwambia broo relax akatukana sana ila kuja kumtrac akawa anapatikana sana local area nikaona mvimba macho tu yule bi mdada mpaka leo hii anapoligz sana ila nishamwambia it's too late!!!!

Broo Hawa wanawake wa humu kama unachapa chapa nenda usije ukautoa moyo wako kwa mtu ambae mmekutana mtandaoni itakucost sana kama hauna power fulani
 
Sisi wanawake huwa tunapenda taratibu, inawezekana alidhani atakupenda kadri mnavyoendelea lakini bahati mbaya ameshindwa....msamehe bure. Lakini pia anaweza kuwa na sababu nyingine hiyo ameifanya kama kisingizio tu, au kuna mambo yamemkwaza mlipokuwa mnachat watu wengine (nikiwemo mimi) huwa tunakerwa na vitu vidogo sana.
Naomba ninong'oneze hivyo vitu minor
 
Afadhali ya kwako mm nilikuwaga na mmoja miaka kadhaa nyuma tuliwasiliana vizuri japo hatukuwah kuonana lakini hv visent vidogo vidogo nilimpa sana Tena sana hd rent ya nyumba alipata pale alipokwama yey hakuwa mvumilivu kwangu coz mm nilikuwa movement nying sana muda wa kumt ukawa mdogo ila nikamwambia usijar tutakuwa wote soon siku napiga simu anapokea kidumu jamaa akawa anakoroma nikamwambia broo relax akatukana sana ila kuja kumtrac akawa anapatikana sana local area nikaona mvimba macho tu yule bi mdada mpaka leo hii anapoligz sana ila nishamwambia it's too late!!!!

Broo Hawa wanawake wa humu kama unachapa chapa nenda usije ukautoa moyo wako kwa mtu ambae mmekutana mtandaoni itakucost sana kama hauna power fulani
Nimekusoma kiongozi nimegundua pia wengi wana stress za maisha na wanaishi maisha ya kuigiza zaidi
 
Mapenzi ya kutafutana kwenye mtandao huwa yanachangamoto sana,kama hamjuani mtachati wee mkija kuonana sasa mnaanza kukimbiana,na hii inatokana na mwingine kuwa na mtazamo fulani.mfano alitegemea akutane na six pack labda akakutana na chaga,au alitegemea akutane na ng'ombe aliyenona akakutana na kibwengo etc.Sasa ili kunusuru hii hali,ni bora wapenzi wetu tuwatafute kule tunapoonana 'live'
 
Nimekusoma kiongozi nimegundua pia wengi wana stress za maisha na wanaishi maisha ya kuigiza zaidi
Ndio hvyo yaani ukiwaona humu utasema eeenh ila ukija onana nae utasema mhhh ukifuatilia unagundua shida nying huyo niliesema mpka sometime msos inabd nimuadress kwa shop aende chukua mazaga ya ndani karibu mwez mzima mana alikuwa yuko dar hapo hapo kwahyo alipta wasaa wa kuonana na dogo
 
Kama vipi mkuu khhhhhhaaaantweee?
Sisi wanawake huwa tunapenda taratibu, inawezekana alidhani atakupenda kadri mnavyoendelea lakini bahati mbaya ameshindwa....msamehe bure. Lakini pia anaweza kuwa na sababu nyingine hiyo ameifanya kama kisingizio tu, au kuna mambo yamemkwaza mlipokuwa mnachat watu wengine (nikiwemo mimi) huwa tunakerwa na vitu vidogo sana.
 
mkuu nakuambia vipi, huyo dada hujampenda na wala humpendi. Hapo kinachofanyika ni uchu wako tu

Ajabu ya sisi wanadamu hatujui kwamba hapa tumependa au hapa tumetamani tu,
Nililikuwa hili , ila nikamwambia nisingeweza kutumia nguvu ya aina yeyote ili kuwa nae,! Anadai tuwe friends basi, sasa na mm nina hisia nae tyr itakuwaje. Alikwama
 
Ndio hvyo yaani ukiwaona humu utasema eeenh ila ukija onana nae utasema mhhh ukifuatilia unagundua shida nying huyo niliesema mpka sometime msos inabd nimuadress kwa shop aende chukua mazaga ya ndani karibu mwez mzima mana alikuwa yuko dar hapo hapo kwahyo alipta wasaa wa kuonana na dogo
Imejifunza leo
 
Back
Top Bottom