Mrejesho, alidai hana hisia.

Mrejesho, alidai hana hisia.

Mabaharia tunasemaga mtt hajavutiwa na muonekano wako au tabia zako ni za ki nice guy sana akaona asijekukuumiza ukaja jinyonga

Kuna vile vipengele pendwa kwa dada zetu sasa kama utakuwa kuna vichache umekosa ndo hvyo umeombwa urafik
 
Wakuu habari za muda huu, kuna thread moja niliwahi post kwenye love connect nikitafuta wangu wa moyo.

Bahati nzuri kati ya wakiokuja nilikongwa nyoyo na binti mmoja (30yrs) safii alinipendeza moyoni na machoni, tukaweka appointment tukakutana mawasiliano yakaendelea charting hadi usiku wa manane.

Niliona nimepata kabisa nikaanza kuzidisha romantic kicks cha ajabu siku moja ananmbia amependa niwe rafiki yake tu sababu HANA HISIA ZA MAPENZI NA MIMI daaah! Niliumia sana nikasema isiwe tabu nikanyamaza hadi sasa.

Anyway, nishauri tu kuwa tunapotafuta au kutafutwa ukijirokeza uwe serious maana mtu hadi aache wengine aje kwako tayari utafanya akuone haupo serious una yumba na maisha.

Niliwaza either hajanipenda au ni kudeka kimapenzi ? Sasa kwa kuwa mimi sihitaji kipoteza muda nikaona huyu sio fungu langu otherwise alikuja kwa lengo jingine.

Tubadilike tuwe.wawazi kama mtu hujamwelewa/hujampenda mchane makavu tu na ndo maana ya kupeana mawasiliano kuonana na kutumiana picha.

Naamini ataona huu Uzi but unisamehe kama.nitakukwaza.

Nawasilisha.
Mkuu ile ndinga yako uliiyacha home ukaenda na public transport ndio maana akasema hana hisia na wew kumbe kapiga teke fuko la muhasibu wa UN
 
Mabaharia tunasemaga mtt hajavutiwa na muonekano wako au tabia zako ni za ki nice guy sana akaona asijekukuumiza ukaja jinyonga

Kuna vile vipengele pendwa kwa dada zetu sasa kama utakuwa kuna vichache umekosa ndo hvyo umeombwa urafik
Aisee kila la kheri kwake aisee
 
Haha Hapo ndio palipo mtia ukakasi. ..---wewe kwani umesahau kuwa kila member wa Jf ana gari. ...so alipo kuona unashuka kwenye dala dala akashangaa 'kwa sababu akili yake imesha lishwa matango pori ya kuwa kila member wa Jf ana gari
Umeongea mkuu niliwaza n nikasema au alivyoniona nimeshuka kwenye daladala akaona sio type yake nini? Teh teh teh nikasema isiwe kazi.
 
Mkuu ile ndinga yako uliiyacha home ukaenda na public transport ndio maana akasema hana hisia na wew kumbe kapiga teke fuko la muhasibu wa UN
Umejuaje mkuu teh teh kweli sikutaka kwenda nayo japo sikufikiria kuhusu Ku show off
 
Kwa kweli hata mimi -ni muumini wa auto ---
Sasa madereva wengi siku hizi wanataka auto yaan ukiminya wese basi ni mwendo tuuuu, ila nyie wa manue sasa ndo ivo kuzipangua hadi gia 12,
 
Back
Top Bottom