Weka picha mkuuMimi.ni handsome kweli mkuu!
Weka picha mkuuMimi.ni handsome kweli mkuu!
Au unataka wenye sura ngumu, labda alihisi angeibiwaMimi.ni handsome kweli mkuu!
Nilitegema hili ungeongea,, nendeni PM sasaWeka picha mkuu
Kama una maswali lakini huuliziAiseee
Nilitegema hili ungeongea,, nendeni PM sasa
Mkuu ile ndinga yako uliiyacha home ukaenda na public transport ndio maana akasema hana hisia na wew kumbe kapiga teke fuko la muhasibu wa UNWakuu habari za muda huu, kuna thread moja niliwahi post kwenye love connect nikitafuta wangu wa moyo.
Bahati nzuri kati ya wakiokuja nilikongwa nyoyo na binti mmoja (30yrs) safii alinipendeza moyoni na machoni, tukaweka appointment tukakutana mawasiliano yakaendelea charting hadi usiku wa manane.
Niliona nimepata kabisa nikaanza kuzidisha romantic kicks cha ajabu siku moja ananmbia amependa niwe rafiki yake tu sababu HANA HISIA ZA MAPENZI NA MIMI daaah! Niliumia sana nikasema isiwe tabu nikanyamaza hadi sasa.
Anyway, nishauri tu kuwa tunapotafuta au kutafutwa ukijirokeza uwe serious maana mtu hadi aache wengine aje kwako tayari utafanya akuone haupo serious una yumba na maisha.
Niliwaza either hajanipenda au ni kudeka kimapenzi ? Sasa kwa kuwa mimi sihitaji kipoteza muda nikaona huyu sio fungu langu otherwise alikuja kwa lengo jingine.
Tubadilike tuwe.wawazi kama mtu hujamwelewa/hujampenda mchane makavu tu na ndo maana ya kupeana mawasiliano kuonana na kutumiana picha.
Naamini ataona huu Uzi but unisamehe kama.nitakukwaza.
Nawasilisha.
Aisee kila la kheri kwake aiseeMabaharia tunasemaga mtt hajavutiwa na muonekano wako au tabia zako ni za ki nice guy sana akaona asijekukuumiza ukaja jinyonga
Kuna vile vipengele pendwa kwa dada zetu sasa kama utakuwa kuna vichache umekosa ndo hvyo umeombwa urafik
Umeongea mkuu niliwaza n nikasema au alivyoniona nimeshuka kwenye daladala akaona sio type yake nini? Teh teh teh nikasema isiwe kazi.
Ungejaribu kumpa hela
Kama una maswali lakini huulizi
Huenda hiyo ID name imekugharimu
Sasa madereva wengi siku hizi wanataka auto yaan ukiminya wese basi ni mwendo tuuuu, ila nyie wa manue sasa ndo ivo kuzipangua hadi gia 12,