Mradi wa trilioni 3 wasajiliwa nchini, kutoa ajira 4500

Hii project ipo for years now..
Wala sio jambo jipya..
Toka wakati wa JK huu mradi umesemwa sana tu..
Nilifikiri ni uzi unaeleza production inaanza siku gani.
 
Hamna mwekezaji wa TZS 3T katika utawala huu rafiki. Sahau hiyo. Ona watu wa gesi, wanaoweza kufanya biashara hata katika nchi zenye vita jinsi walivyotoka nduki.
 
awamu hii nikutaja tuu Mara tumeokoa bil kadhaa Mara mradi Wa trilion kadhaa. hayoo ma trilion mbona hatuoni impact yake mtaani???????
 


Makampuni makubwa ya kigeni kuwekeza Kilwa Masoko
Makampuni ya Ferrostaal kutoka Ujerumani na Haldor Topsoe kutoka Denmark zimepata usajili kwa ajili ya kuzalisha mbolea aina ya Yurea Kilwa mkoani Lindi.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Geoffrey Mwambe, thamani ya uwekezaji huu ni Dola za Marekani bilioni 1.9 sawa na shilingi trilioni tatu.

Alisema kuwa uwekezaji huu mkubwa ni ishara kwamba Tanzania ni mahali sahihi kwa uwekezaji lakini pia kuna mfumo mzuri wa uwekezaji. Uwekezaji huu umeelezwa kuwa utaajiri Watanzaia 4,500.

Mradi huo utakuwa ukizalisha tani milioni 1.3 kwa mwaka. Mwambe amewataka wananchi wa Kilwa kutoa ushirikiano kwa wawekazaji hao. TIC wamesema kuwamradi huo utasajiliwa hapa nchini kwa jina la Tanzania Mbolea Petrochemicals (TAMCO).

Wale wanaosema wawekezaji wanakimbia Tanzania wapo wapi?
 
Hamna mwekezaji wa TZS 3T katika utawala huu rafiki. Sahau hiyo. Ona watu wa gesi, wanaoweza kufanya biashara hata katika nchi zenye vita jinsi walivyotoka nduki.
Duh kweli Chuki ikizaa watoto huwaita Husda, Kinyongo au Roho Kwanini.
 


Makampuni makubwa ya kigeni kuwekeza Kilwa Masoko
Makampuni ya Ferrostaal kutoka Ujerumani na Haldor Topsoe kutoka Denmark zimepata usajili kwa ajili ya kuzalisha mbolea aina ya Yurea Kilwa mkoani Lindi.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Geoffrey Mwambe, thamani ya uwekezaji huu ni Dola za Marekani bilioni 1.9 sawa na shilingi trilioni tatu.

Alisema kuwa uwekezaji huu mkubwa ni ishara kwamba Tanzania ni mahali sahihi kwa uwekezaji lakini pia kuna mfumo mzuri wa uwekezaji. Uwekezaji huu umeelezwa kuwa utaajiri Watanzaia 4,500.

Mradi huo utakuwa ukizalisha tani milioni 1.3 kwa mwaka. Mwambe amewataka wananchi wa Kilwa kutoa ushirikiano kwa wawekazaji hao. TIC wamesema kuwamradi huo utasajiliwa hapa nchini kwa jina la Tanzania Mbolea Petrochemicals (TAMCO).

Wale wanaosema wawekezaji wanakimbia Tanzania wapo wapi?

Chadema kwishney, waendelee kuuguza msaliti nyayo
 


Makampuni makubwa ya kigeni kuwekeza Kilwa Masoko
Makampuni ya Ferrostaal kutoka Ujerumani na Haldor Topsoe kutoka Denmark zimepata usajili kwa ajili ya kuzalisha mbolea aina ya Yurea Kilwa mkoani Lindi.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Geoffrey Mwambe, thamani ya uwekezaji huu ni Dola za Marekani bilioni 1.9 sawa na shilingi trilioni tatu.

Alisema kuwa uwekezaji huu mkubwa ni ishara kwamba Tanzania ni mahali sahihi kwa uwekezaji lakini pia kuna mfumo mzuri wa uwekezaji. Uwekezaji huu umeelezwa kuwa utaajiri Watanzaia 4,500.

Mradi huo utakuwa ukizalisha tani milioni 1.3 kwa mwaka. Mwambe amewataka wananchi wa Kilwa kutoa ushirikiano kwa wawekazaji hao. TIC wamesema kuwamradi huo utasajiliwa hapa nchini kwa jina la Tanzania Mbolea Petrochemicals (TAMCO).

Wale wanaosema wawekezaji wanakimbia Tanzania wapo wapi?

TIC are paper pushers!
Mtoa mada usijitambe sana, hayo unayoyaongea ni mawazo tu, hakuna kilichowekezwa!
Na kwa mawazo hayo ,haobwawekezaji wamesha lipa kodi kiasi gani?
Hapo ndo utaijua nji hii!
 
Back
Top Bottom