Mradi wa maji uliogharimu Tsh. mil. 13,000,000/-

mirindimo

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
821
1,343
Unaambiwa hapo ndani kuna pump iliyogharimu Tsh. mil. 12,000,000 ya kisasa ambayo umeme ukikatika inatunza charge, pia unaweza kuiwasha hata kwa simu.
 
Sasa bei ya hiyo pampu ni shilingi ngapi kwenye soko?

Pump, solar, batteries..... vyote hivyo unganisha halafu uje kutwambia gharama halisi siyo kutuonyesha kibanda tu.
 
Mi nadhani kwa gharama hizo ni sahihi kabisa.wanasiasa wanapenda kuketa ujinga wao kwenye taaluma za watu.
Tofali Bei gani?
Mchanga?
Ciment?
Kokoto?
Bati,rangi,mbao,nondo.
Usafili wa hivyo vifaa?
He mafundi wamelipwa kiasi gani? Kumbuka hapo mkandarasi anatumia gharama zake nyingi tu za ziada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…