Mi nadhani kwa gharama hizo ni sahihi kabisa.wanasiasa wanapenda kuketa ujinga wao kwenye taaluma za watu.
Tofali Bei gani?
Mchanga?
Ciment?
Kokoto?
Bati,rangi,mbao,nondo.
Usafili wa hivyo vifaa?
He mafundi wamelipwa kiasi gani? Kumbuka hapo mkandarasi anatumia gharama zake nyingi tu za ziada.