Undetectable
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,699
- 2,266
Habari wadau.
Ningependa kufahamu, hivi ule mradi wa kutengeneza mvua (artificial rain) uliishia wapi?
Nakumbuka mradi huu ulitakiwa ufanywe na wataalamu kutoka nchini Indonesia ili kupunguza tatizo la upungufu wa maji ya kuzalisha umeme.
Ningependa kufahamu, hivi ule mradi wa kutengeneza mvua (artificial rain) uliishia wapi?
Nakumbuka mradi huu ulitakiwa ufanywe na wataalamu kutoka nchini Indonesia ili kupunguza tatizo la upungufu wa maji ya kuzalisha umeme.