winchester
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 284
- 332
hilo ni gunia au debe, mwaka jana kijiji watu walikuwa wanunua gunia moja shambani laki tatu na ukipeleka sokoni laki tatu na nusu mpaka 360000.Njoo tulime MBAAZI, Gunia moja 60000 Tshs sokoni.
hilo ni gunia au debe, mwaka jana kijiji watu walikuwa wanunua gunia moja shambani laki tatu na ukipeleka sokoni laki tatu na nusu mpaka 360000.Njoo tulime MBAAZI, Gunia moja 60000 Tshs sokoni.
achana na hicho kilimo kwanza, kila mtu analima, imefikia saturation point,tafuta zao lingine ulime
Uko sawa mkuu!!Idadi ya matikiti maji kwa heka 1 ni 2000 hadi 8000,,,,na pia uwekezaji kwa jumla ni kma 500000 hadi 800000.
Mkuu unalima wapi mbaazi nikutembelee kujifunza
Duh guni moja la mbaazi 60000/= umepiga chaka uliza vizuriMbaazi.
sawa, sijamlazimisha mtu..choicesAliyekudanganya ni nani? Kila kitu ni mipango ndg yangu.
Mbegu inayowekwa chini sasa ikitoka itatoa watu sana...., we kaa tu kwenye keyboard yako ukiendelea kujidanganya!
Tshs 60,000/100KgNjoo tulime MBAAZI, Gunia moja 60,000 Tshs sokoni.
Vyema, hivyo uzitoe habari zisizo na uhakika! Saturation ktk market huwa inatokea kwa msimu tu haswa wakati wa bumper harvest!sawa, sijamlazimisha mtu..choices
sawa dada, umelima nini? sina lengo la kukukatisha tamaa! fanya researchVyema, hivyo uzitoe habari zisizo na uhakika! Saturation ktk market huwa inatokea kwa msimu tu haswa wakati wa bumper harvest!
Ndio nakuelewesha kulingana na uzoefu wa kusoma majira na misimu!sawa dada, umelima nini? sina lengo la kukukatisha tamaa! fanya research
Mie naweza nkasema Hoja ya jamaa kuachana na kilimo hiko cha matikiti sio Mbaya.. Anaweza kuitumia Fursa ya kilimo hiko kujifunza na Kuelimisha watu kwa Ujira Mdogo tu au ku Organize Kundi la watu na kupata ujuzi juu ya Biashara ya kilimo na kuwa Watu wa kati..Aliyekudanganya ni nani? Kila kitu ni mipango ndg yangu.
Mbegu inayowekwa chini sasa ikitoka itatoa watu sana...., we kaa tu kwenye keyboard yako ukiendelea kujidanganya!

sawasawa, lakini ukichunguza sana unaweza kugundua kwamba matikiti yamekuwa kama main product kwenye horticultural products,ukiacha nyanya na vitunguu...halafu tikiti siyo inevitable sana kwenye shopping ya mama wa nyumbaniNdio nakuelewesha kulingana na uzoefu wa kusoma majira na misimu!
Hivi ushawahi kujiuliza kwa nini kuna wakati/msimu baadhi ya mazao huwa yanakosa bei (bei ndogo) sokoni?!
Kila kitu ni mahesabu chief1!sawasawa, lakini ukichunguza sana unaweza kugundua kwamba matikiti yamekuwa kama main product kwenye horticultural products,ukiacha nyanya na vitunguu...halafu tikiti siyo inevitable sana kwenye shopping ya mama wa nyumbani
nakuelewa sana ndg! maswala ya misimu nayatambua vizuri sanaKila kitu ni mahesabu chief1!
Kama sasa nyanya na vitunguu vimejaa sokoni coz wengi walilima msimu wa masika..., sasa tunaelekea kwenye kiangazi wanaolima sio wengi coz ya changamoto nyinygi...., hivyo kama una uzoefu huu ndio muda wa ku-make!!
Kweli soko lipoo mkuu reja reja hadi jumla kk viwnda vyaa juice za matunda vinaongezeka kila cku
ANAEJUWA IDADI YA MATIKITI YANAYOWEZA KUZALISHWA KWENYE EKARI MOJA ANIJUZE, NA BEI YA JUMLA INAKUWAJE?