bila shaka kaelewa...ingawa haujamtajia na mazingira halisi ya sehemu ya kufanyia huo mradi ili iwe rahisi ku`analyse specific budget for whole season until the harvest mkuu!Idadi ya matikiti maji kwa heka 1 ni 2000 hadi 8000,,,,na pia uwekezaji kwa jumla ni kma 500000 hadi 800000.
bila shaka kaelewa...ingawa haujamtajia na mazingira halisi ya sehemu ya kufanyia huo mradi ili iwe rahisi ku`analyse specific budget for whole season until the harvest mkuu!
nimekusoma kaka.... nimeshaanza kulima maeneo ya RUVU bagamoyo i hop to hit my targetIdadi ya matikiti maji kwa heka 1 ni 2000 hadi 8000,,,,na pia uwekezaji kwa jumla ni kma 500000 hadi 800000.
achana na hicho kilimo kwanza, kila mtu analima, imefikia saturation point,tafuta zao lingine ulime
Kwann??achana na hicho kilimo kwanza, kila mtu analima, imefikia saturation point,tafuta zao lingine ulime
unaweza ukalima na ukakosa soko, yamekuwa mengi sokoniKwann??
inatokana na eneo ulilopo mkuuZao gani zuri mkuu?
KASEMA YUPO RUVU JE KWA HUKO ZAO GANI LINAFAA KULIMWA?inatokana na eneo ulilopo mkuu
mwambie alime mpungaKASEMA YUPO RUVU JE KWA HUKO ZAO GANI LINAFAA KULIMWA?
Hiyo gharama haiko realistic. Mbegu ya gramm 500 ya F1 Sugar ni laki 3.Idadi ya matikiti maji kwa heka 1 ni 2000 hadi 8000,,,,na pia uwekezaji kwa jumla ni kma 500000 hadi 800000.
Asante Kwa Kumkumbusha Mtoa MadaHiyo gharama haiko realistic. Mbegu ya gramm 500 ya F1 Sugar ni laki 3.
Bado samadi ya kupandia bado mbolea ya NPK na CAN bado hujaweka madawa ya wadudu kama farm guard na Boosters.
Kwahiyo rejea tena utoe mahesabu sahii View attachment 381364
Njoo tulime MBAAZI, Gunia moja 60000 Tshs sokoni.Zao gani zuri mkuu?
Mbaazi.KASEMA YUPO RUVU JE KWA HUKO ZAO GANI LINAFAA KULIMWA?
Mkuu unalima wapi mbaazi nikutembelee kujifunzaNjoo tulime MBAAZI, Gunia moja 60000 Tshs sokoni.