View attachment 3397020
Kuna kipindi nililimaga Sana mchicha naujua nje ndaniii
NB.huyo dogo kwenye picha R .I.P Siku izi mbili zilizo pita nimeambiwa alipata ajarii akafariki dunia.
Ila hii project ilinipaga Sana pesa tulikuaga tunauza kitalu mpaka 80elfu mpaka lakiii.
Na tulikuaga tuna pishanishaa na tunalima vitalu vingi SEMA ndio ivyo ni KILIMO Cha msimu maana PRICE FLUCTUATE ni kubwa Sana kwenye PERISHABLE FOODS