FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Mradi wa Bwawa la Nyerere(MW 2115) upo nyuma kwa asilimia 44, nguvu zimeelekezwa kwenye gesi (MW 1600)
Kiukweli inasikitisha sana mradi wa bwawa la Nyerere huenda usikamilike kabisa. Mkurugenzi mkuu TANESCO, Mhe. Maharage Chande nilimsikia akisema kwa sasa wanaanza na kufunga mitambo kwa ajili ya umeme wa Gas ambao jumla utazalisha MW 1600. Kwahiyo bwawa la Nyerere ambalo litazalisha MW 2115...
www.jamiiforums.com