Mradi wa JNHPP ulianza 26 July 2019 na ungalikamilika June 2022. Kama ni kweli Feb 2021 ulikuwa nyuma siku 477 ina maana ulikuwa haujaanza kutekelezwa

Huyu Chamuriho ndiyo alikuwa Waziri Wizara ya Ujenzi, Karemani alikuwa Waziri Nishati, Kareman ilikuwa kila mwezi lazima aende Hapo site.

Chamuriho ndiyo mtaalamu wa majadiliano alieshiriki katika miradi yote kuongozo timu ya majadiriano kwenye mapatano kati yetu na wakandarasi, mradi Nyerere Hydroelectric Power aliongoza timu ya majadiliano, mradi wa SGR yeye ndiyo aliongoza majadiliano, mradi wa ununuzi wa Ndege ndiye aliengoza timu ya majadiliano ata kule Bagamoyo ni yeye na timu yake ndio waliona mradi ule unawabana sana Watanzania, ikukbukwe Dr. Leonard Chamuriho ni Engineer sasa ukija kusikia mradi wa Bagamoyo unapigiwa kelele huko mbele ujue timu ya majadiliano ilikuwa ya wanasiasa. View attachment 2012553

Sent using Jamii Forums mobile app
We can not dare to "misuse" the brain of this man!!! Wahusika jipangeni, vinginevyo muwajibishwe.
 
Kazi ya miaka mitatu iko nyuma kwa karibu mwaka na nusu hizo ni kauli za kuwarudisheni nyuma hiyo miaka na issue hapa ni upigaji unaandaliwa kaeni mkao wa kupigwa na mtapigwa ile mbaya na siyo hapo
Si kuna watu wanasema wanalinda taratibu kwa maslahi mapana ya nchi!! Wamelala...?
 
Mradi wa JNPP ulianza tarehe 26 July 2019 na ulitarajiwa kukamilika na kuanza kuzalisha umeme mwezi June 2022.

Sasa kama ni kweli kwamba hadi kufika February 2021 mradi ulikuwa nyuma siku 477, maana yake ulikuwa aidha haujaanza kutekelezwa au ndiyo ulikuwa unaanza. Hii ni kwa mjibu wa hesabu nyepesi nyepesi za kutoa na kujumlisha.

Waziri wetu kadanganywa hivyo na wahandisi wa JNHPP na yeye bila kukokotoa hesabu hizo akaamini wanasema kweli. Anapaswa kuwaadabisha waongo hao. Kwa nini wadanganye hivyo?

Haiwezekani ukawa nyuma siku 477. Sote tulikuwa tunaona angalao kwenye luninga jinsi kazi zilivyokuwa zikifanyika kwenye mradi huo. Au hizo handover notes za mtangulizi wake ziliandikwa kimakosa na yeye kazisoma bila kuzitafakali?
Kwahiyo tatizo ni crane?
 
ule mradi ungekamilika kwa wakati Kama ilivyokuwa imepangwa.inshu kubwa kwa Sasa ambayo huenda ikamfanya huu mradi uende hata 2025,ni pesa plus vifaa.sijui mzimu gani umeingia pale naona Kasi imepungua,tofauti na mwanzo,sikuhizi hatuonyeshwi kwenye runinga Kama zamani kazi ilipofikia.lakini hili la mradi kuwa nyuma kwa siku 477 daah sijui limekaaje
Siku hizi ndg "waheshimiwa" hawaendi site, wapo ofisini kutekeleza majukumu mengine eheheheheeeee...

👉🏾Da nchi ina vituko sana hii.
 
Mradi wa JNPP ulianza tarehe 26 July 2019 na ulitarajiwa kukamilika na kuanza kuzalisha umeme mwezi June 2022.

Sasa kama ni kweli kwamba hadi kufika February 2021 mradi ulikuwa nyuma siku 477, maana yake ulikuwa aidha haujaanza kutekelezwa au ndiyo ulikuwa unaanza. Hii ni kwa mjibu wa hesabu nyepesi nyepesi za kutoa na kujumlisha.

Waziri wetu kadanganywa hivyo na wahandisi wa JNHPP na yeye bila kukokotoa hesabu hizo akaamini wanasema kweli. Anapaswa kuwaadabisha waongo hao. Kwa nini wadanganye hivyo?

Haiwezekani ukawa nyuma siku 477. Sote tulikuwa tunaona angalao kwenye luninga jinsi kazi zilivyokuwa zikifanyika kwenye mradi huo. Au hizo handover notes za mtangulizi wake ziliandikwa kimakosa na yeye kazisoma bila kuzitafakali?
Ndugu yangu utawaweza hao, wao wanawaza wizi na kugonga mademu tu, wakitoka wanakwambia lazima machinga wafate sheria; very hopeless ppl
 
Kuchelewa kwa siku 477 haina maana kuchelewa kuanza inamaana kazi ambayo labda ingetakiwa kufanywa kwa siku 10 inafanywa kwa siku 70 kutokana na kusuasua kwa malipo na hela za vifaa. So watu wapo site lakini progress ni ndogo
Haki hujaelewa! Umedandia tu kama mbilimbili za Kigoma
 
Mradi wa JNPP ulianza tarehe 26 July 2019 na ulitarajiwa kukamilika na kuanza kuzalisha umeme mwezi June 2022.

Sasa kama ni kweli kwamba hadi kufika February 2021 mradi ulikuwa nyuma siku 477, maana yake ulikuwa aidha haujaanza kutekelezwa au ndiyo ulikuwa unaanza. Hii ni kwa mjibu wa hesabu nyepesi nyepesi za kutoa na kujumlisha.

Waziri wetu kadanganywa hivyo na wahandisi wa JNHPP na yeye bila kukokotoa hesabu hizo akaamini wanasema kweli. Anapaswa kuwaadabisha waongo hao. Kwa nini wadanganye hivyo?

Haiwezekani ukawa nyuma siku 477. Sote tulikuwa tunaona angalao kwenye luninga jinsi kazi zilivyokuwa zikifanyika kwenye mradi huo. Au hizo handover notes za mtangulizi wake ziliandikwa kimakosa na yeye kazisoma bila kuzitafakali?
Yawezekana huo mradi, kiuhalisia, ulikuwa unachukua zaidi ya siku hizo tulizokuwa tukiambiwa. Ikumbukwe kuwa ilikuwa nadra sana marehemu kusema ukweli. Zaidi alitegemea uwongo na hadaa.
 
Jiwe na genge lake walikuwa waongo sana. Makamba anasema ukweli anaonekana anadanganywa
Makamba muongo. Aanataka aanzishe projects za umeme wa gas ule mradi wautelekeze. Waafrika shida yetu hatuna consistency. Kila mtu anajifanya mjuaji. Wamalize ule mradi kwanza ndio waanzishe mingine
 
Kwahiyo tatizo ni crane?
Cranes za kunyanyua tani 26 tunazo nyingi tu kwenye mabandari yakinyanyua makontena yanayozidi hizo tani. Hata hayo machuma 14 ya tani 26 kila moja yanayotarajiwa kufungwa kwenye bwawa hilo yaliletwa kwa meli na yakanyanyuliwa kushushwa kutoka kwenye hizo meli. Cranes zetu ni mobile na zinaweza kukodishwa kwa bei ndogo tu kwenda kwenye hilo bwawa kuyanyanyua tena hayo machuma ya kuziba huo mchepuko wa maji.
 
Cranes za kunyanyua tani 26 tunazo nyingi tu kwenye mabandari yakinyanyua makontena yanayozidi hizo tani. Hata hayo machuma 14 ya tani 26 kila moja yanayotarajiwa kufungwa kwenye bwawa hilo yaliletwa kwa meli na yakanyanyuliwa kushushwa kutoka kwenye hizo meli. Cranes zetu ni mobile na zinaweza kukodishwa kwa bei ndogo tu kwenda kwenye hilo bwawa kuyanyanyua tena hayo machuma ya kuziba huo mchepuko wa maji.
Niseme ni hujuma dhidi ya legacy ya mtoa wazo,na fahamu nyuma ya hii hujuma yupo mstaafu anaeinjinia mpango huu kwa ustadi sana dhidi ya mikataba mangungo ya LNG
 
Unataka nawewe kutudanganya kuwa na yeye hajui mahesabu ya +-. Hizi story za kusema fulani kadanganywa si za kuendekeza. Alipaswa kuverify taarifa yake kama kiongozi kabla ya kuifikisha kwa raia ili kuepusha siñtofahamu iliyojitokeza.
Mradi wa JNPP ulianza tarehe 26 July 2019 na ulitarajiwa kukamilika na kuanza kuzalisha umeme mwezi June 2022.

Sasa kama ni kweli kwamba hadi kufika February 2021 mradi ulikuwa nyuma siku 477, maana yake ulikuwa aidha haujaanza kutekelezwa au ndiyo ulikuwa unaanza. Hii ni kwa mjibu wa hesabu nyepesi nyepesi za kutoa na kujumlisha.

Waziri wetu kadanganywa hivyo na wahandisi wa JNHPP na yeye bila kukokotoa hesabu hizo akaamini wanasema kweli. Anapaswa kuwaadabisha waongo hao. Kwa nini wadanganye hivyo?

Haiwezekani ukawa nyuma siku 477. Sote tulikuwa tunaona angalao kwenye luninga jinsi kazi zilivyokuwa zikifanyika kwenye mradi huo. Au hizo handover notes za mtangulizi wake ziliandikwa kimakosa na yeye kazisoma bila kuzitafakali?
 
Kuchelewa kwa siku 477 haina maana kuchelewa kuanza inamaana kazi ambayo labda ingetakiwa kufanywa kwa siku 10 inafanywa kwa siku 70 kutokana na kusuasua kwa malipo na hela za vifaa. So watu wapo site lakini progress ni ndogo
Kuna tofauti kati ya mradi "uliochelewa" na mradi "utakaochelewa".
 
Duh! Kumbe hizo ndizo aina ya hesabu mlizokuwa mnamdanganya Mr Makamba na yeye akadanganyika. Eti Project Mathematics! Mapenguin bwana kwa maneno ni hodari sana.

Hapa tunaongelea mradi kuwa nyuma ya muda fulani (scale) uliokuwa umepangwa. Ni hesabu ya motion (kinetics) kwenye scale iliyopangwa zinazohusisha speed ya utekelezaji. Tunachoangalia ni speedometer reading ambayo ndiyo scale yetu. Haiwezekani speedometer ikasoma negative speed. Ni aidha zero au kwenda mbele. Haiendagi nyuma.

Kwenye mfano wako wa kwanza wa kulima heka 10 kwa siku 30, scale yetu ya speedometer ni 0 hadi 30. Wewe siku ya 15 ulikuwa umelima hekta 3 tu wakati ulitakiwa uwe umelima hekta 5 (speed ilitakiwa kuwa hekta 1/3 kwa siku ili ukamilishe hizo hekta 10 siku ya 30). Hizo hekta 3 ulizolima zilitakiwa kuwa zimelimwa siku ya 9. Hivyo scale yetu siku ya 15 itasoma uko nyuma kwa siku 6. Itasoma mradi uko nyuma siku 6. Na ili uweze ku catchup inabidi speed iongezwe kuwa zaidi ya iliyopangwa. Mfano wako wa pili hau apply hapa kwani mradi wetu haujamaliza muda wake uliopangwa kukamilika ambao ni June 2022. Mfano wako huu wa pili hatusemi uko nyuma kiasi gani bali tunasema umechelewa kukamilika kwa muda gani na mkandarasi anaanza kukatwa malipo ya ucheleweshaji kuanzia tarehe ambayo mradi ulikuwa umepangwa kukamilika (end of the scale).
Mkuu rudi shule hauna kitu kichwani humo. Kwa ufupi wewe ni KILAZA.
Umeeleweshwa kuwa ikiwa kazi moja ilitakiwa ichukue siku 30 lkn ikachukua siku 70 Huoni kama mtakuwa nyuma kwa siku 40?? Una akili sawasawa wewe??
 
Back
Top Bottom