Wakazi wa kata ya Mbagala Manispaa ta Temeke tuliupokea kwa shangwe kubwa mradi huo wa uboreshaji wa miundo mbinu ya ujenzi wa barabara za kiwango cha lami, mifereji na taa za barabara ni unaofanywa na kampuni ya ujenzi ya Jasco.
Mradi umekua ukisuasua kwa Madai kwamba wanashindwa kufanya Nazi ipasavyo kwa madai kuwa baadhi ya wamiliki wa majumba hawajalipwa fidia na serikali Hadi leo.pamoja na mvua za vuli kuwa kikwazo cha kuendelea na ujenzi,takriban wiki ya Pili sasa wamesimama,tunaomba manispaa ya Temeke watupe ufafanuzi ma kutatua tatizo hili.na hili naamini serikali italishughulikia ipasavyo.
Mradi umekua ukisuasua kwa Madai kwamba wanashindwa kufanya Nazi ipasavyo kwa madai kuwa baadhi ya wamiliki wa majumba hawajalipwa fidia na serikali Hadi leo.pamoja na mvua za vuli kuwa kikwazo cha kuendelea na ujenzi,takriban wiki ya Pili sasa wamesimama,tunaomba manispaa ya Temeke watupe ufafanuzi ma kutatua tatizo hili.na hili naamini serikali italishughulikia ipasavyo.