Mimi ndio kwanza nimemenunua hicho king`amuzi hapa Arusha na wakasema wataanza rasmi leo, ila wasiwasi wangu ni uendelevu wake na utapeli kama wa GTV. DSTV wana bei za juu sana kutokana na kukosa ushindani kama ilivyokuwa TTCL kabla ya makampuni ya simu hayajaingia. Tuone, mimi na amini vita vya panzi furaha kwa kunguru. Big up na wengine wajitokeze.