Mr Zumo-usiku usiingie

Jamani muwe mnagoogle nyimbo mbona zipo! au lengo ni kujaza saver za jamii forums!
Km wimbo unakukonga, basi shirikisha maudhui yake watu wachangie
 
Hivi huyu jamaa mr zumo amefariki kweli ? Je walikuwa na uhusiano na moringe sokoine ? Kwani naona wamefanana
 
Kuna wimbo mwengine ila mwimbaj kwa jina simuelew mwenye nao tafazal Kuna versi unasema “Mangi alikuwepo rafael alikuwepo tulikunywa tulikunywa”ni kama vile anasimulia story
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom