engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,428
Ndugu wana jf tumepata jembe tena jembe litakalo lima hata kiangazi,ukitaka kumjuwa sugu ni nani sikiliza ile nyimbo yake ya antivirus,sugu anakuambia moto ni uleule yeye anauhuru wa kusema na atasema,pia anakuambia maisha ni mchakamchaka kwani ktk maisha kamanda sugu hana uoga,bila kuchoka kwani maisha ni kama soka kusongana,yupo tayari kuonyesha maajabu ktk bunge lijalo
anakuja sugu na falsafa za obama,anahitaji mabadiliko na wanambeya mcjari mmepata jembe mpeni ushirikiano mr suguuuuu
sugu chadema ni tumaini jipya fanya mambo maneno ni yes hakuna no kwa wanambeya
mapinduziiiiiiiiiiiiiii daimaaaaaaaaaaaaa
anakuja sugu na falsafa za obama,anahitaji mabadiliko na wanambeya mcjari mmepata jembe mpeni ushirikiano mr suguuuuu
sugu chadema ni tumaini jipya fanya mambo maneno ni yes hakuna no kwa wanambeya
mapinduziiiiiiiiiiiiiii daimaaaaaaaaaaaaa