Aisee umenikumbusha kitu cha zamani kidogo,
Bwana yule alitusababishia msiba ,
Nakumbuka baba yangu mkubwa alikia anasali kwake,
Basi akaja kupata magonjwa ya utu uzima sukari ,presha ndipo madaktari wakashauri kuwa kuna baadhi ya vyakula mzee asiguse ,
Nabii bwana alipojua akapiga marufuku
Na kumwambia mzee kula kila kitu hiyo mifuta futa usile kunywa kabisaa ,sijui chumvi weka mpaka kwenye kahawa yani tafrani mzee hakuchukua round akaishia