Kwahiyo awamu ya 5 makabila mengine hayaruhusiwi kupata huo uenyekiti zaidi ya WASUKUMA?Chama Cha Mapinduzi kimekamilisha mchakato wa uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya chama hicho na jumuiya zake. Masikio na macho ya wengi ni kwenye jumuiya ya vijana ndani ya chama hicho. Mpaka sasa walioteuliwa ni Musa Mtoro kutoka kusini mwa Tanzania, huku Kheri James, Mathias Saimon Kipara na Thobias Richard Mwesiga wote wanatoka kanda ya ziwa; Mganwa Nzota na Kamana Juma Simba hawa ni kutoka Dar es Salaam; Mwingine ni Juma Boaz Mwaipaja kutoka mikoa ya nyanda za juu kusini mwa Tanzania.
Duru za siasa zinasema uteuzi wa majina haya umewaacha wengi midomo wazi hususani kupitishwa kwa Ndg Mathias Saimon Kipara ambaye analalamikiwa kudanganya umri kwani wengi wanaomfahamu wanasema amezaliwa mwaka 1984 hivyo kuwa na miaka 33 wakati kwa mujibu wa kanuni ya UVCCM mgombea awe na umri usiozidi miaka 30.
Chanzo changu cha uhakika kutoka ndani ya kamati kuu ya CCM na moja ya maafisa usalama Ikulu ni kuwa Ndg. Kipala hakupendekezwa na vikao vyoye vya awali pamoja na taarifa ya vyombo vya usalama kutokana na kutokuwa na sifa lakini Rais Magufuli aliingia na jina hilo kwenye kamati kuu kwa kulazimisha kuwa naye ajumuishwe kwenye orodha jambo ambalo wajumbe walilipokea kwa shingo upande. Rais Magufuli alionekana kukerwa na mhusika kutokuwepo katika mapendekezo wahusika wanadai ni kwa sababu Ndugu Kipala ni mpwa wake na mtumishi wa idara ya usalama wa Taifa maarufu kama “SWEEPER.”
Habari za uhakika ni kuwa tayari maelekezo yamekwishatoka kuhakikisha Ndugu Kipala anashinda. Jukumu hili linaongozwa na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Makonda ambaye hata hivyo ushahidi wa sauti iliyorekodiwa wakati wa mkutano wake na marais wa serikali za wanafunzi wa vyuo vikuu mkoa wa Dar es salaam alithibitisha hilo kuwa yeye anamuunga mkono Ndugu Kipala. Mkakati ni kuwa baada ya kura kupigwa siku ya mkutano mkuu wa UVCCM TAIFA Dodoma wajumbe watapewa mapumziko huku kura zikihesabiwa na meza yaani wasimamizi wa uchaguzi huku wagombea wakitakiwa kuamini meza kurahisisha mchakato wa kumsaidia Ndugu Kipala. Watoa habari wameonya wajumbe wasikubali kura zikaondoka ukumbini bila wao, zikahesabiwa na wasimamizi pia wajumbe wasikubali kwenda mapumziko ndio warudi kumchagua makamu mwenyekiti wa UVCCM TAIFA.
Waliosoma na kumfahamu Ndugu Kipala wanadokeza kuwa Ndugu Kipala ni mpwa wa Rais Magufuli kama anavyojinasibu wakati akiwa amepata kilevi lakini pia ni mzinzi na mlevi aliepindukia kama alivyo Mwenyekiti wa UVCCM anaemaliza muda wake.
Hivyo basi kwa mtazamo wangu namuona kijana Kheri James kutoka Mwanza ambaye ni katibu wa mbunge wa jimbo la Ilemela Mhe Angelina Mabula ambaye ni naibu waziri wa ardhi kuwa mtu sahihi kwa sasa kuiongoza jumuiya hii. Nimefarijika sana kuona watu makini kama kaka yangu Antony Mtaka mkuu wa mkoa wa Simiyu akiungana na kijana huyu anayesubiri kukabidhiwa ofisi. Mwenyezi Mungu amuongoze vyema.
Mjukuu wa Dr. Shika.
Igoma Mwanza.
Pombe ameingia na jina la mpwa wake mfukoni
Agombee kwa nini!?Unapiga kampeni au??wapi katiba inakataa mtoto wa kiongoxi kugombea cheo chochi
Te
Chama Cha Mapinduzi kimekamilisha mchakato wa uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya chama hicho na jumuiya zake. Masikio na macho ya wengi ni kwenye jumuiya ya vijana ndani ya chama hicho. Mpaka sasa walioteuliwa ni Musa Mtoro kutoka kusini mwa Tanzania, huku Kheri James, Mathias Saimon Kipara na Thobias Richard Mwesiga wote wanatoka kanda ya ziwa; Mganwa Nzota na Kamana Juma Simba hawa ni kutoka Dar es Salaam; Mwingine ni Juma Boaz Mwaipaja kutoka mikoa ya nyanda za juu kusini mwa Tanzania.
Duru za siasa zinasema uteuzi wa majina haya umewaacha wengi midomo wazi hususani kupitishwa kwa Ndg Mathias Saimon Kipara ambaye analalamikiwa kudanganya umri kwani wengi wanaomfahamu wanasema amezaliwa mwaka 1984 hivyo kuwa na miaka 33 wakati kwa mujibu wa kanuni ya UVCCM mgombea awe na umri usiozidi miaka 30.
Chanzo changu cha uhakika kutoka ndani ya kamati kuu ya CCM na moja ya maafisa usalama Ikulu ni kuwa Ndg. Kipala hakupendekezwa na vikao vyoye vya awali pamoja na taarifa ya vyombo vya usalama kutokana na kutokuwa na sifa lakini Rais Magufuli aliingia na jina hilo kwenye kamati kuu kwa kulazimisha kuwa naye ajumuishwe kwenye orodha jambo ambalo wajumbe walilipokea kwa shingo upande. Rais Magufuli alionekana kukerwa na mhusika kutokuwepo katika mapendekezo wahusika wanadai ni kwa sababu Ndugu Kipala ni mpwa wake na mtumishi wa idara ya usalama wa Taifa maarufu kama “SWEEPER.”
MNACHAGUA SHEIKH AU PADRE KAMA NI MZINZI AU MLEVI NA ANAFANYA KAZI ZAKE KUNA SHIDA GANI.ACHA UJINGA.YAANI MTU KUWA NDUGU NA MAKUFULI IMESHAKUWA SOO KWAHYO NDUGU ZAKE WOTE WASIPATE KAZI
Habari za uhakika ni kuwa tayari maelekezo yamekwishatoka kuhakikisha Ndugu Kipala anashinda. Jukumu hili linaongozwa na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Makonda ambaye hata hivyo ushahidi wa sauti iliyorekodiwa wakati wa mkutano wake na marais wa serikali za wanafunzi wa vyuo vikuu mkoa wa Dar es salaam alithibitisha hilo kuwa yeye anamuunga mkono Ndugu Kipala. Mkakati ni kuwa baada ya kura kupigwa siku ya mkutano mkuu wa UVCCM TAIFA Dodoma wajumbe watapewa mapumziko huku kura zikihesabiwa na meza yaani wasimamizi wa uchaguzi huku wagombea wakitakiwa kuamini meza kurahisisha mchakato wa kumsaidia Ndugu Kipala. Watoa habari wameonya wajumbe wasikubali kura zikaondoka ukumbini bila wao, zikahesabiwa na wasimamizi pia wajumbe wasikubali kwenda mapumziko ndio warudi kumchagua makamu mwenyekiti wa UVCCM TAIFA.
Waliosoma na kumfahamu Ndugu Kipala wanadokeza kuwa Ndugu Kipala ni mpwa wa Rais Magufuli kama anavyojinasibu wakati akiwa amepata kilevi lakini pia ni mzinzi na mlevi aliepindukia kama alivyo Mwenyekiti wa UVCCM anaemaliza muda wake.
Hivyo basi kwa mtazamo wangu namuona kijana Kheri James kutoka Mwanza ambaye ni katibu wa mbunge wa jimbo la Ilemela Mhe Angelina Mabula ambaye ni naibu waziri wa ardhi kuwa mtu sahihi kwa sasa kuiongoza jumuiya hii. Nimefarijika sana kuona watu makini kama kaka yangu Antony Mtaka mkuu wa mkoa wa Simiyu akiungana na kijana huyu anayesubiri kukabidhiwa ofisi. Mwenyezi Mungu amuongoze vyema.
Mjukuu wa Dr. Shika.
Igoma Mwanza.
Chama Cha Mapinduzi kimekamilisha mchakato wa uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya chama hicho na jumuiya zake. Masikio na macho ya wengi ni kwenye jumuiya ya vijana ndani ya chama hicho. Mpaka sasa walioteuliwa ni Musa Mtoro kutoka kusini mwa Tanzania, huku Kheri James, Mathias Saimon Kipara na Thobias Richard Mwesiga wote wanatoka kanda ya ziwa; Mganwa Nzota na Kamana Juma Simba hawa ni kutoka Dar es Salaam; Mwingine ni Juma Boaz Mwaipaja kutoka mikoa ya nyanda za juu kusini mwa Tanzania.
Duru za siasa zinasema uteuzi wa majina haya umewaacha wengi midomo wazi hususani kupitishwa kwa Ndg Mathias Saimon Kipara ambaye analalamikiwa kudanganya umri kwani wengi wanaomfahamu wanasema amezaliwa mwaka 1984 hivyo kuwa na miaka 33 wakati kwa mujibu wa kanuni ya UVCCM mgombea awe na umri usiozidi miaka 30.
Chanzo changu cha uhakika kutoka ndani ya kamati kuu ya CCM na moja ya maafisa usalama Ikulu ni kuwa Ndg. Kipala hakupendekezwa na vikao vyoye vya awali pamoja na taarifa ya vyombo vya usalama kutokana na kutokuwa na sifa lakini Rais Magufuli aliingia na jina hilo kwenye kamati kuu kwa kulazimisha kuwa naye ajumuishwe kwenye orodha jambo ambalo wajumbe walilipokea kwa shingo upande. Rais Magufuli alionekana kukerwa na mhusika kutokuwepo katika mapendekezo wahusika wanadai ni kwa sababu Ndugu Kipala ni mpwa wake na mtumishi wa idara ya usalama wa Taifa maarufu kama “SWEEPER.”
Habari za uhakika ni kuwa tayari maelekezo yamekwishatoka kuhakikisha Ndugu Kipala anashinda. Jukumu hili linaongozwa na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Makonda ambaye hata hivyo ushahidi wa sauti iliyorekodiwa wakati wa mkutano wake na marais wa serikali za wanafunzi wa vyuo vikuu mkoa wa Dar es salaam alithibitisha hilo kuwa yeye anamuunga mkono Ndugu Kipala. Mkakati ni kuwa baada ya kura kupigwa siku ya mkutano mkuu wa UVCCM TAIFA Dodoma wajumbe watapewa mapumziko huku kura zikihesabiwa na meza yaani wasimamizi wa uchaguzi huku wagombea wakitakiwa kuamini meza kurahisisha mchakato wa kumsaidia Ndugu Kipala. Watoa habari wameonya wajumbe wasikubali kura zikaondoka ukumbini bila wao, zikahesabiwa na wasimamizi pia wajumbe wasikubali kwenda mapumziko ndio warudi kumchagua makamu mwenyekiti wa UVCCM TAIFA.
Waliosoma na kumfahamu Ndugu Kipala wanadokeza kuwa Ndugu Kipala ni mpwa wa Rais Magufuli kama anavyojinasibu wakati akiwa amepata kilevi lakini pia ni mzinzi na mlevi aliepindukia kama alivyo Mwenyekiti wa UVCCM anaemaliza muda wake.
Hivyo basi kwa mtazamo wangu namuona kijana Kheri James kutoka Mwanza ambaye ni katibu wa mbunge wa jimbo la Ilemela Mhe Angelina Mabula ambaye ni naibu waziri wa ardhi kuwa mtu sahihi kwa sasa kuiongoza jumuiya hii. Nimefarijika sana kuona watu makini kama kaka yangu Antony Mtaka mkuu wa mkoa wa Simiyu akiungana na kijana huyu anayesubiri kukabidhiwa ofisi. Mwenyezi Mungu amuongoze vyema.
Mjukuu wa Dr. Shika.
Igoma Mwanza.
Mkuu unaujua umri wa " vibabu" vya Zanzibar Sadifa na yule mtangulizi wake?!! Huo umoja siyo wa vijana tena bali vibabu hivyo majungu yako hayana tija!!Chama Cha Mapinduzi kimekamilisha mchakato wa uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya chama hicho na jumuiya zake. Masikio na macho ya wengi ni kwenye jumuiya ya vijana ndani ya chama hicho. Mpaka sasa walioteuliwa ni Musa Mtoro kutoka kusini mwa Tanzania, huku Kheri James, Mathias Saimon Kipara na Thobias Richard Mwesiga wote wanatoka kanda ya ziwa; Mganwa Nzota na Kamana Juma Simba hawa ni kutoka Dar es Salaam; Mwingine ni Juma Boaz Mwaipaja kutoka mikoa ya nyanda za juu kusini mwa Tanzania.
Duru za siasa zinasema uteuzi wa majina haya umewaacha wengi midomo wazi hususani kupitishwa kwa Ndg Mathias Saimon Kipara ambaye analalamikiwa kudanganya umri kwani wengi wanaomfahamu wanasema amezaliwa mwaka 1984 hivyo kuwa na miaka 33 wakati kwa mujibu wa kanuni ya UVCCM mgombea awe na umri usiozidi miaka 30.
Chanzo changu cha uhakika kutoka ndani ya kamati kuu ya CCM na moja ya maafisa usalama Ikulu ni kuwa Ndg. Kipala hakupendekezwa na vikao vyoye vya awali pamoja na taarifa ya vyombo vya usalama kutokana na kutokuwa na sifa lakini Rais Magufuli aliingia na jina hilo kwenye kamati kuu kwa kulazimisha kuwa naye ajumuishwe kwenye orodha jambo ambalo wajumbe walilipokea kwa shingo upande. Rais Magufuli alionekana kukerwa na mhusika kutokuwepo katika mapendekezo wahusika wanadai ni kwa sababu Ndugu Kipala ni mpwa wake na mtumishi wa idara ya usalama wa Taifa maarufu kama “SWEEPER.”
Habari za uhakika ni kuwa tayari maelekezo yamekwishatoka kuhakikisha Ndugu Kipala anashinda. Jukumu hili linaongozwa na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Makonda ambaye hata hivyo ushahidi wa sauti iliyorekodiwa wakati wa mkutano wake na marais wa serikali za wanafunzi wa vyuo vikuu mkoa wa Dar es salaam alithibitisha hilo kuwa yeye anamuunga mkono Ndugu Kipala. Mkakati ni kuwa baada ya kura kupigwa siku ya mkutano mkuu wa UVCCM TAIFA Dodoma wajumbe watapewa mapumziko huku kura zikihesabiwa na meza yaani wasimamizi wa uchaguzi huku wagombea wakitakiwa kuamini meza kurahisisha mchakato wa kumsaidia Ndugu Kipala. Watoa habari wameonya wajumbe wasikubali kura zikaondoka ukumbini bila wao, zikahesabiwa na wasimamizi pia wajumbe wasikubali kwenda mapumziko ndio warudi kumchagua makamu mwenyekiti wa UVCCM TAIFA.
Waliosoma na kumfahamu Ndugu Kipala wanadokeza kuwa Ndugu Kipala ni mpwa wa Rais Magufuli kama anavyojinasibu wakati akiwa amepata kilevi lakini pia ni mzinzi na mlevi aliepindukia kama alivyo Mwenyekiti wa UVCCM anaemaliza muda wake.
Hivyo basi kwa mtazamo wangu namuona kijana Kheri James kutoka Mwanza ambaye ni katibu wa mbunge wa jimbo la Ilemela Mhe Angelina Mabula ambaye ni naibu waziri wa ardhi kuwa mtu sahihi kwa sasa kuiongoza jumuiya hii. Nimefarijika sana kuona watu makini kama kaka yangu Antony Mtaka mkuu wa mkoa wa Simiyu akiungana na kijana huyu anayesubiri kukabidhiwa ofisi. Mwenyezi Mungu amuongoze vyema.
Mjukuu wa Dr. Shika.
Igoma Mwanza.