Nazipenda sana teuzi za Magufuli:akiwachagua mawaziri,akimchagua Waziri,akiwachagua wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya,akimchagua nani,usually nawafahamu kwa mara ya kwanza baada ya wa wao kuchaguliwa.
Sasa itabidi nitafute kujua Humphrey Polepole ni nani.
[Sina TV in case utauliza kwa nini siwafahamu]