GE2025 Mpina: Tumeomba Uchaguzi wa urais usifanyike, hadi shauri lilipo mahakamani likamilike

GE2025 Mpina: Tumeomba Uchaguzi wa urais usifanyike, hadi shauri lilipo mahakamani likamilike

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Luhaga Mpina ameendelea kushusha nondo zake na kumuelekezea zaidi Mama Kizimkazi.

Binafsi nimemuelewa vyema sana! kwamba uchaguzi auwezi kufanyika wakati kesi za wagomea wawili wa nafasi ya urais kesi zao zipo mahakamani. Na ungitazama vizuri Samia aliwekewa pingamizi na Mzee Malisa kuhusu uteuzi wake na hadi kesi ikaendelea kusikilizwa lakini cha ajabu Samia anaendelea kutamba kwenye kampeni.

Soma Pia: Shauri la Kikatiba la Luhaga Mpina dhidi ya INEC kuendelea leo Oktoba 6, 2025

Hii ndio wabongo wameikata, hakuna haki kabisa ni upendeleo na kujilimbikizia nguvu ya madaraka!
===============
Leo Oktoba 21, 2025, mawakili wa Luhaga Mpina waliwasilisha hoja zao katika Mahakama Kuu Masijala Kuu Dodoma kuhusu kesi ya kuenguliwa kwake kugombea urais kupitia ACT–Wazalendo. Kesi hiyo inahusisha Mpina dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

 
Luhaga Mpina ameendelea kushusha nondo zake na kumuelekezea zaidi Mama Kizimkazi.

Binafsi nimemuelewa vyema sana! kwamba uchaguzi auwezi kufanyika wakati kesi za wagomea wawili wa nafasi ya urais kesi zao zipo mahakamani. Na ungitazama vizuri Samia aliwekewa pingamizi na Mzee Malisa kuhusu uteuzi wake na hadi kesi ikaendelea kusikilizwa lakini cha ajabu Samia anaendelea kutamba kwenye kampeni.

Soma Pia: Shauri la Kikatiba la Luhaga Mpina dhidi ya INEC kuendelea leo Oktoba 6, 2025

Hii ndio wabongo wameikata, hakuna haki kabisa ni upendeleo na kujilimbikizia nguvu ya madaraka!
===============
Leo Oktoba 21, 2025, mawakili wa Luhaga Mpina waliwasilisha hoja zao katika Mahakama Kuu Masijala Kuu Dodoma kuhusu kesi ya kuenguliwa kwake kugombea urais kupitia ACT–Wazalendo. Kesi hiyo inahusisha Mpina dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Mhimili wenyewe wa mahakama ni collection of kangaroo courts. Sitashangaa kama ombi la kuzuia Uchaguzi wa Rais litakuwa DENIED bila sababu zenye mashiko!
 
Huyo kibibi anautaka urais wa Tanganyika kuliko hata maisha yake, she is ready to kill, kidnap, kutisha watu, kuhonga mapesa, kuvunja sheria za nchi, katiba kisa Urais.

She is REJECTED hapa Duniani na Mbinguni - mwambie huyo kibibi watanganyika HAWAMTAKII.
 
Luhaga Mpina ameendelea kushusha nondo zake na kumuelekezea zaidi Mama Kizimkazi.

Binafsi nimemuelewa vyema sana! kwamba uchaguzi auwezi kufanyika wakati kesi za wagomea wawili wa nafasi ya urais kesi zao zipo mahakamani. Na ungitazama vizuri Samia aliwekewa pingamizi na Mzee Malisa kuhusu uteuzi wake na hadi kesi ikaendelea kusikilizwa lakini cha ajabu Samia anaendelea kutamba kwenye kampeni.

Soma Pia: Shauri la Kikatiba la Luhaga Mpina dhidi ya INEC kuendelea leo Oktoba 6, 2025

Hii ndio wabongo wameikata, hakuna haki kabisa ni upendeleo na kujilimbikizia nguvu ya madaraka!
===============
Leo Oktoba 21, 2025, mawakili wa Luhaga Mpina waliwasilisha hoja zao katika Mahakama Kuu Masijala Kuu Dodoma kuhusu kesi ya kuenguliwa kwake kugombea urais kupitia ACT–Wazalendo. Kesi hiyo inahusisha Mpina dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Masikini Mpina, ili kusimamisha uchaguzi, unatakiwa kuweka bond yenye thamani ya gharama ziliizoshatumika mpaka sasa kwenye maandalizi ya uchaguzi, nani amazo hizo fedha za kusimamisha uchaguzi mkuu kisheria?.

Kwa muda huu uliobakia, kitu cha kufanya ni kimoja tuu, kwenda kupiga kura hiyo October 29!, hata kama humpendi Samia, nenda kamchague Mwajuma, ila kama ulijiandikisha kupiga kura na siku ya uchaguzi ukaamua kutokwenda kupiga kura, then kaa ukijua usipopiga kura yako, utapigiwa na utakuwa umempigia usiyempenda!, namna pekee ya kuilinda kura yako ni kwenda kuipiga, usipoipiga utapigiwa!. Thread 'Kuna Vitu Ili Maisha Yaende, Lazima Upige!, Usipopiga, Utapigiwa! na Maisha Yataendelea!. Sasa Kati ya Kupiga na Kupigiwa, Bora Kipi? Nakushauri Piga!' Kuna Vitu Ili Maisha Yaende, Lazima Upige!, Usipopiga, Utapigiwa! na Maisha Yataendelea!. Sasa Kati ya Kupiga na Kupigiwa, Bora Kipi? Nakushauri Piga!

Kitu muhimu ni Mwami Zitto Kabwe aseme kura za ACT kwa urais wanampa nani?.

P
 
 
Luhaga Mpina ameendelea kushusha nondo zake na kumuelekezea zaidi Mama Kizimkazi.

Binafsi nimemuelewa vyema sana! kwamba uchaguzi auwezi kufanyika wakati kesi za wagomea wawili wa nafasi ya urais kesi zao zipo mahakamani. Na ungitazama vizuri Samia aliwekewa pingamizi na Mzee Malisa kuhusu uteuzi wake na hadi kesi ikaendelea kusikilizwa lakini cha ajabu Samia anaendelea kutamba kwenye kampeni.

Soma Pia: Shauri la Kikatiba la Luhaga Mpina dhidi ya INEC kuendelea leo Oktoba 6, 2025

Hii ndio wabongo wameikata, hakuna haki kabisa ni upendeleo na kujilimbikizia nguvu ya madaraka!
===============
Leo Oktoba 21, 2025, mawakili wa Luhaga Mpina waliwasilisha hoja zao katika Mahakama Kuu Masijala Kuu Dodoma kuhusu kesi ya kuenguliwa kwake kugombea urais kupitia ACT–Wazalendo. Kesi hiyo inahusisha Mpina dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.


Asubiri kesi kupangwa kuanza kusikilizwa kwa dharura kabisa Oct 31, 2025.
 
Masikini Mpina, ili kusimamisha uchaguzi, unatakiwa kuweka bond ya yenye thamani ya gharama ziliizoshatumika mpaka sasa kwenye maandalizi ya Uchaguzi, nani Amazon hizo fedha?.

Tuendelee kujianda kwenda kupiga kura hiyo October 29.

Kitu muhimu ni Mwami Zitto Kabwe aseme kura za ACT kwa urais wanampa nani!

P
Pascal, uchaguzi haupo... Yaani tunashangaa a very senior member wa JF hata hujui kwamba huyo kibibi kwamba watanganyika washamkataa ? CCM watupe mtu sahihi.
 
Luhaga Mpina ameendelea kushusha nondo zake na kumuelekezea zaidi Mama Kizimkazi.

Binafsi nimemuelewa vyema sana! kwamba uchaguzi auwezi kufanyika wakati kesi za wagomea wawili wa nafasi ya urais kesi zao zipo mahakamani. Na ungitazama vizuri Samia aliwekewa pingamizi na Mzee Malisa kuhusu uteuzi wake na hadi kesi ikaendelea kusikilizwa lakini cha ajabu Samia anaendelea kutamba kwenye kampeni.

Soma Pia: Shauri la Kikatiba la Luhaga Mpina dhidi ya INEC kuendelea leo Oktoba 6, 2025

Hii ndio wabongo wameikata, hakuna haki kabisa ni upendeleo na kujilimbikizia nguvu ya madaraka!
===============
Leo Oktoba 21, 2025, mawakili wa Luhaga Mpina waliwasilisha hoja zao katika Mahakama Kuu Masijala Kuu Dodoma kuhusu kesi ya kuenguliwa kwake kugombea urais kupitia ACT–Wazalendo. Kesi hiyo inahusisha Mpina dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Ndugu samia Suluhu Hassan nimeipenda hiyo
 
Huyo kibibi anautaka urais wa Tanganyika kuliko hata maisha yake, she is ready to kill, kidnap, kutisha watu, kuhonga mapesa, kuvunja sheria za nchi, katiba kisa Urais.

She is REJECTED hapa Duniani na Mbinguni - mwambie huyo kibibi watanganyika HAWAMTAKII.
Jisemee nafsi yako
 
Mpina ana hoja ya msingi.

Vipi kama mahakama ya rufaa ikiamua mgombea wa CCM sio halali na uchaguzi ndani ya CCM unapaswa kurudiwa sababu hakufuata sheria za chama chake?
Useless, mahakana ya rufaa iko ndani ya mfumo.
Lissu yupo sahihi, mifumo YOTE ya utawala wa nchi ni Takataka
 
Mpina arudi Kisesa akachunge mbuzi,timing yake ya kugombea uraia ilifail asubuhi tu,angegombea ubunge maybe angeleta ushindani jimboni kwake,pia kuna kitu huwa Mpina kuna wakati huwa nawaza nayeye alikuwa anajua kitakachofanyika, kwasababu project ya hicho chama kwa taarifa nilizo nazo nayeye ni mmoja wa founder pamoja na marehemu Filikunjombe........ inawezekana wanawazuga kina Dorothy ila ukweli yeye na Nyepesi wanaujua
 
Hii kesi inaweza kwenda kutumika kama chaka la kusimamisha uchaguzi. Hapo Mpina atapaishwa kisiasa na hapo hapo atatumika kummaliza Lissu na CHADEMA kisiasa JokaKuu

..suala sio Lissu, au Chadema, bali haki itendeke.

..Na ninashangaa kwanini muda wote huu ACT hawakuomba kampeni zisimamishwe mpaka pale suala la Mpina litakapofikia tamati.

..Haki kwanza, vyama baadae.
 
Useless, mahakana ya rufaa iko ndani ya mfumo.
Lissu yupo sahihi, mifumo YOTE ya utawala wa nchi ni Takataka
Mifumo inaongozwa na watu. Wanaongoza mifumo (watu) wakiwa sahihi na mifumo itakuwa sahihi, vivyo hivyo takataka.
Kwa hiyo.
Kwa hiyo, njia rahisi ya kurekebishana ni kuwataja na kuthibitisha utakataka wa watu hao ili wajirebishe na iwe fundisho kwa wengine, vinginevyo wataendelea kujificha kwenye kichaka cha ujumla.
 
..suala sio Lissu, au Chadema, bali haki itendeke.

..Na ninashangaa kwanini muda wote huu ACT hawakuomba kampeni zisimamishwe mpaka pale suala la Mpina litakapofikia tamati.

..Haki kwanza, vyama baadae.
Ninachotaka kusema ni kwamba wakati unadai haki na inaonekana kama inapatikana, kuwa makini pia na michezo ya kisiasa inazoweza kukuhadaa kuwa unaipata haki kumbe ni njia tu ya kuteketeza harakati za kweli za demokrasia na haki.
 
Back
Top Bottom