Mpina kuwania uraisi kupitia ACT

Mpina kuwania uraisi kupitia ACT

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Chama cha ACT Wazalendo kimependekeza majina ya wagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Urais wa Zanzibar kufuatia kikao kilichofanyika jana Jumanne, Agosti 5, 2025 katika makao makuu ya chama hicho, kwenye ukumbi wa Hakainde Hichilema.

Soma pia: Mpina agonga hodi ACT Wazalendo na yupo tayari kugombea urais

Screenshot 2025-08-05 233107.png


Katika taarifa iliyotolewa mapema leo asubuhi, Agosti 6, 2025, Katibu wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma wa chama hicho, Shangwe Ayo, majina yakiyopendekezwa kuwania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Luhaga Mpina, aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Kisesa kupitia Chama Cha Mapinduzi, pamoja na Aaron Kalikawe.

Kwa upande wa Urais wa Zanzibar, jina la Othman Masoud Othman, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama na Makamu wa Kwanza wa Rais amependekezwa baada ya kuchukua fomu ya kuwania Urais peke yake.

Taarifa ya ACT Wazalendo imeeleza kuwa majina yote ya wagombea yatawasilishwa katika Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama hicho kwa ajili ya kupigiwa kura.

Aidha, Halmashauri Kuu ya chama hicho imeridhia uamuzi wa kiongozi wa chama hicho, Dorothy Jonas Semu, kujiondoa katika kinyangányiro cha kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Chanzo: Eatv
 
Chama cha ACT Wazalendo kimependekeza majina ya wagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Urais wa Zanzibar kufuatia kikao kilichofanyika jana Jumanne, Agosti 5, 2025 katika makao makuu ya chama hicho, kwenye ukumbi wa Hakainde Hichilema.

Soma pia: Mpina agonga hodi ACT Wazalendo na yupo tayari kugombea urais

View attachment 3433350

Katika taarifa iliyotolewa mapema leo asubuhi, Agosti 6, 2025, Katibu wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma wa chama hicho, Shangwe Ayo, majina yakiyopendekezwa kuwania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Luhaga Mpina, aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Kisesa kupitia Chama Cha Mapinduzi, pamoja na Aaron Kalikawe.

Kwa upande wa Urais wa Zanzibar, jina la Othman Masoud Othman, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama na Makamu wa Kwanza wa Rais amependekezwa baada ya kuchukua fomu ya kuwania Urais peke yake.

Taarifa ya ACT Wazalendo imeeleza kuwa majina yote ya wagombea yatawasilishwa katika Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama hicho kwa ajili ya kupigiwa kura.

Aidha, Halmashauri Kuu ya chama hicho imeridhia uamuzi wa kiongozi wa chama hicho, Dorothy Jonas Semu, kujiondoa katika kinyangányiro cha kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Chanzo: Eatv
Bad move
 
Chama cha ACT Wazalendo kimependekeza majina ya wagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Urais wa Zanzibar kufuatia kikao kilichofanyika jana Jumanne, Agosti 5, 2025 katika makao makuu ya chama hicho, kwenye ukumbi wa Hakainde Hichilema.

Soma pia: Mpina agonga hodi ACT Wazalendo na yupo tayari kugombea urais

View attachment 3433350

Katika taarifa iliyotolewa mapema leo asubuhi, Agosti 6, 2025, Katibu wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma wa chama hicho, Shangwe Ayo, majina yakiyopendekezwa kuwania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Luhaga Mpina, aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Kisesa kupitia Chama Cha Mapinduzi, pamoja na Aaron Kalikawe.

Kwa upande wa Urais wa Zanzibar, jina la Othman Masoud Othman, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama na Makamu wa Kwanza wa Rais amependekezwa baada ya kuchukua fomu ya kuwania Urais peke yake.

Taarifa ya ACT Wazalendo imeeleza kuwa majina yote ya wagombea yatawasilishwa katika Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama hicho kwa ajili ya kupigiwa kura.

Aidha, Halmashauri Kuu ya chama hicho imeridhia uamuzi wa kiongozi wa chama hicho, Dorothy Jonas Semu, kujiondoa katika kinyangányiro cha kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Chanzo: Eatv
Umoja, mshikamano, na uzalendo ndio nyanja kuu za maendeleo katika Taifa 🇹🇿 kwahiyo ndugu zangu tusibabaike wala kutangatanga msimamo wetu ndio maendeleo yetu
 
Back
Top Bottom