Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,738
- 12,045
asome asisome, hana maana, akitaka kuwa na maana asimamie kwenye haki, asikubali kutumika na watesi. aje kwenye no reforms, no election aliko MunguNatamani Mpina ahutubie bila kusoma. Itamuongezea kujiamani.