stonecutter
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 2,337
- 3,388
Hata marehemu Membe allkuwa hamaanishi anachokiongea. Yaani alikuwa kama anaigiza jukwaani.
😟 aaha hadi kijaniMpina sio presidential material!!, hana ushawishi wala hotuba zenye kuvutia hisia za watu kutaka kuendelea kumsikiliza!. Anatembelea upepo wa mgombea dhaifu wa ccm... Katika wakati ambao Tz imepata wagombea dhaifu basi ni kipindi hiki... Mtaani jamii haijui kama kuna wagombea urais.
NRNE😢Kwanza mimi sidhani kama kutakuwa na uchaguzi mwaka huu
Duh saiz wale viongoz wa ACT ambao wamejenga chama na kupata value wamekuwa machawa ni kama vision inapotea 😢😭Nyie mlimpa ridhaa ya kugombea uraisi ili iweje?🤔
Yaani mtu akibishana na serikali tu anakuwa na qualifications za uongozi.
Mpina ni Clone ya Mbowe 😂 ilioko ACT, I've completely lost due respect to that guy. The dissapointment is unexplainable.Huyo ni pandikizi la kuvuruga sauti ya kweli ya wapinzani
😭 ila siasa kwel ni kamchezoMpina ni Clone ya Mbowe 😂 ilioko ACT, I've completely lost due respect to that guy. The dissapointment is unexplainable.
Angelikuwa Lissu angesema alipigwa risasi 26 halafu anaonesha kovu Moja tu!Wakuu ivi mpina bado anawenge au hajapewa notes??
nimekuwa nikifatilia mpina akipanda jukwaani naona kuna kitu kina miss kwake ni kama vile hana notes anatumia past papers kujinadi, nani anatakiwa kumpa notes??
Yaani akiongea hata haletee ile feeling ya kuonyesha ana kitu cha kushawishi mtu kumpigia kura kama tulivyo upizani huwa wana kitu cha kitofauti kabs.
Ivi maneno ya kusema kizmkaz aliposema mi mbunge taifa ndo maneno ya kuongea, au Mara sijui nilifukuzwa mimi kwa sababu flan ambazo hata hazishawishi.
ACT Tafadhali embu mpeni nondo huyo mpina mtulizeni kwaza atulie a relax yaan aonyeshe ana nini cha tofauti. Najua mlifanya maumuzi haraka sanaa kumpa kitengo mtulizeni mpeni notes maana yy ndo anategemewa kuonyesha competition. otherwise anaoneka amepewa oversize position.
Sijui kwa nini Ayatollah hakuchukua hiyo nafasi! Au kwa vile ACT ni project ya CCM kama mnavyosema hakutaka kumpa taabu mama wa watu?Shida sana. Mtu aliye kuwa anataka ubunge then ghafla eti anagombea urais kweli kweli au ni siasi chafu tuu.
Wacha kujaribu slogan za watu!NERNE-2025
No electroral reforms, 2025, No elections 2025
🙋✍️👍🤝🙏🤔💭Wakuu ivi mpina bado anawenge au hajapewa notes??
nimekuwa nikifatilia mpina akipanda jukwaani naona kuna kitu kina miss kwake ni kama vile hana notes anatumia past papers kujinadi, nani anatakiwa kumpa notes??
Yaani akiongea hata haletee ile feeling ya kuonyesha ana kitu cha kushawishi mtu kumpigia kura kama tulivyo upizani huwa wana kitu cha kitofauti kabs.
Ivi maneno ya kusema kizmkaz aliposema mi mbunge taifa ndo maneno ya kuongea, au Mara sijui nilifukuzwa mimi kwa sababu flan ambazo hata hazishawishi.
ACT Tafadhali embu mpeni nondo huyo mpina mtulizeni kwaza atulie a relax yaan aonyeshe ana nini cha tofauti. Najua mlifanya maumuzi haraka sanaa kumpa kitengo mtulizeni mpeni notes maana yy ndo anategemewa kuonyesha competition. otherwise anaoneka amepewa oversize position.
Ni mpumbavu kama chademaWakuu ivi mpina bado anawenge au hajapewa notes??
nimekuwa nikifatilia mpina akipanda jukwaani naona kuna kitu kina miss kwake ni kama vile hana notes anatumia past papers kujinadi, nani anatakiwa kumpa notes??
Yaani akiongea hata haletee ile feeling ya kuonyesha ana kitu cha kushawishi mtu kumpigia kura kama tulivyo upizani huwa wana kitu cha kitofauti kabs.
Ivi maneno ya kusema kizmkaz aliposema mi mbunge taifa ndo maneno ya kuongea, au Mara sijui nilifukuzwa mimi kwa sababu flan ambazo hata hazishawishi.
ACT Tafadhali embu mpeni nondo huyo mpina mtulizeni kwaza atulie a relax yaan aonyeshe ana nini cha tofauti. Najua mlifanya maumuzi haraka sanaa kumpa kitengo mtulizeni mpeni notes maana yy ndo anategemewa kuonyesha competition. otherwise anaoneka amepewa oversize position.
hakika mkuu, ila embu tusubiri kampen zianze labda atabadilika, ila kwa sasa sijaona mtu pale.Hatuna mtu hapo.
Ya kwao ni NRNEWacha kujaribu slogan za watu!
Wenge tu angebaki awapige spana hukohuko CCM hadi wamfukuze. Maana pesa anayoWakuu ivi mpina bado anawenge au hajapewa notes??
nimekuwa nikifatilia mpina akipanda jukwaani naona kuna kitu kina miss kwake ni kama vile hana notes anatumia past papers kujinadi, nani anatakiwa kumpa notes??
Yaani akiongea hata haletee ile feeling ya kuonyesha ana kitu cha kushawishi mtu kumpigia kura kama tulivyo upizani huwa wana kitu cha kitofauti kabs.
Ivi maneno ya kusema kizmkaz aliposema mi mbunge taifa ndo maneno ya kuongea, au Mara sijui nilifukuzwa mimi kwa sababu flan ambazo hata hazishawishi.
ACT Tafadhali embu mpeni nondo huyo mpina mtulizeni kwaza atulie a relax yaan aonyeshe ana nini cha tofauti. Najua mlifanya maumuzi haraka sanaa kumpa kitengo mtulizeni mpeni notes maana yy ndo anategemewa kuonyesha competition. otherwise anaoneka amepewa oversize position.