Mpina ana wenge au hana notes au ni oversize position?

Mpina ana wenge au hana notes au ni oversize position?

Mpina sio presidential material!!, hana ushawishi wala hotuba zenye kuvutia hisia za watu kutaka kuendelea kumsikiliza!. Anatembelea upepo wa mgombea dhaifu wa ccm... Katika wakati ambao Tz imepata wagombea dhaifu basi ni kipindi hiki... Mtaani jamii haijui kama kuna wagombea urais.
😟 aaha hadi kijani
 
Nyie mlimpa ridhaa ya kugombea uraisi ili iweje?🤔

Yaani mtu akibishana na serikali tu anakuwa na qualifications za uongozi.
Duh saiz wale viongoz wa ACT ambao wamejenga chama na kupata value wamekuwa machawa ni kama vision inapotea 😢😭
 
Wakuu ivi mpina bado anawenge au hajapewa notes??

nimekuwa nikifatilia mpina akipanda jukwaani naona kuna kitu kina miss kwake ni kama vile hana notes anatumia past papers kujinadi, nani anatakiwa kumpa notes??

Yaani akiongea hata haletee ile feeling ya kuonyesha ana kitu cha kushawishi mtu kumpigia kura kama tulivyo upizani huwa wana kitu cha kitofauti kabs.

Ivi maneno ya kusema kizmkaz aliposema mi mbunge taifa ndo maneno ya kuongea, au Mara sijui nilifukuzwa mimi kwa sababu flan ambazo hata hazishawishi.

ACT Tafadhali embu mpeni nondo huyo mpina mtulizeni kwaza atulie a relax yaan aonyeshe ana nini cha tofauti. Najua mlifanya maumuzi haraka sanaa kumpa kitengo mtulizeni mpeni notes maana yy ndo anategemewa kuonyesha competition. otherwise anaoneka amepewa oversize position.
Angelikuwa Lissu angesema alipigwa risasi 26 halafu anaonesha kovu Moja tu!
 
Shida sana. Mtu aliye kuwa anataka ubunge then ghafla eti anagombea urais kweli kweli au ni siasi chafu tuu.
Sijui kwa nini Ayatollah hakuchukua hiyo nafasi! Au kwa vile ACT ni project ya CCM kama mnavyosema hakutaka kumpa taabu mama wa watu?
 
Wakuu ivi mpina bado anawenge au hajapewa notes??

nimekuwa nikifatilia mpina akipanda jukwaani naona kuna kitu kina miss kwake ni kama vile hana notes anatumia past papers kujinadi, nani anatakiwa kumpa notes??

Yaani akiongea hata haletee ile feeling ya kuonyesha ana kitu cha kushawishi mtu kumpigia kura kama tulivyo upizani huwa wana kitu cha kitofauti kabs.

Ivi maneno ya kusema kizmkaz aliposema mi mbunge taifa ndo maneno ya kuongea, au Mara sijui nilifukuzwa mimi kwa sababu flan ambazo hata hazishawishi.

ACT Tafadhali embu mpeni nondo huyo mpina mtulizeni kwaza atulie a relax yaan aonyeshe ana nini cha tofauti. Najua mlifanya maumuzi haraka sanaa kumpa kitengo mtulizeni mpeni notes maana yy ndo anategemewa kuonyesha competition. otherwise anaoneka amepewa oversize position.
🙋✍️👍🤝🙏🤔💭
 
Wakuu ivi mpina bado anawenge au hajapewa notes??

nimekuwa nikifatilia mpina akipanda jukwaani naona kuna kitu kina miss kwake ni kama vile hana notes anatumia past papers kujinadi, nani anatakiwa kumpa notes??

Yaani akiongea hata haletee ile feeling ya kuonyesha ana kitu cha kushawishi mtu kumpigia kura kama tulivyo upizani huwa wana kitu cha kitofauti kabs.

Ivi maneno ya kusema kizmkaz aliposema mi mbunge taifa ndo maneno ya kuongea, au Mara sijui nilifukuzwa mimi kwa sababu flan ambazo hata hazishawishi.

ACT Tafadhali embu mpeni nondo huyo mpina mtulizeni kwaza atulie a relax yaan aonyeshe ana nini cha tofauti. Najua mlifanya maumuzi haraka sanaa kumpa kitengo mtulizeni mpeni notes maana yy ndo anategemewa kuonyesha competition. otherwise anaoneka amepewa oversize position.
Ni mpumbavu kama chadema
 
Wakuu ivi mpina bado anawenge au hajapewa notes??

nimekuwa nikifatilia mpina akipanda jukwaani naona kuna kitu kina miss kwake ni kama vile hana notes anatumia past papers kujinadi, nani anatakiwa kumpa notes??

Yaani akiongea hata haletee ile feeling ya kuonyesha ana kitu cha kushawishi mtu kumpigia kura kama tulivyo upizani huwa wana kitu cha kitofauti kabs.

Ivi maneno ya kusema kizmkaz aliposema mi mbunge taifa ndo maneno ya kuongea, au Mara sijui nilifukuzwa mimi kwa sababu flan ambazo hata hazishawishi.

ACT Tafadhali embu mpeni nondo huyo mpina mtulizeni kwaza atulie a relax yaan aonyeshe ana nini cha tofauti. Najua mlifanya maumuzi haraka sanaa kumpa kitengo mtulizeni mpeni notes maana yy ndo anategemewa kuonyesha competition. otherwise anaoneka amepewa oversize position.
Wenge tu angebaki awapige spana hukohuko CCM hadi wamfukuze. Maana pesa anayo
 
Back
Top Bottom