Blueboy Jr
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 411
- 607
Wakuu ivi mpina bado anawenge au hajapewa notes??
nimekuwa nikifatilia mpina akipanda jukwaani naona kuna kitu kina miss kwake ni kama vile hana notes anatumia past papers kujinadi, nani anatakiwa kumpa notes??
Yaani akiongea hata haletee ile feeling ya kuonyesha ana kitu cha kushawishi mtu kumpigia kura kama tulivyo upizani huwa wana kitu cha kitofauti kabs.
Ivi maneno ya kusema kizmkaz aliposema mi mbunge taifa ndo maneno ya kuongea, au Mara sijui nilifukuzwa mimi kwa sababu flan ambazo hata hazishawishi.
ACT Tafadhali embu mpeni nondo huyo mpina mtulizeni kwaza atulie a relax yaan aonyeshe ana nini cha tofauti. Najua mlifanya maumuzi haraka sanaa kumpa kitengo mtulizeni mpeni notes maana yy ndo anategemewa kuonyesha competition. otherwise anaoneka amepewa oversize position.
nimekuwa nikifatilia mpina akipanda jukwaani naona kuna kitu kina miss kwake ni kama vile hana notes anatumia past papers kujinadi, nani anatakiwa kumpa notes??
Yaani akiongea hata haletee ile feeling ya kuonyesha ana kitu cha kushawishi mtu kumpigia kura kama tulivyo upizani huwa wana kitu cha kitofauti kabs.
Ivi maneno ya kusema kizmkaz aliposema mi mbunge taifa ndo maneno ya kuongea, au Mara sijui nilifukuzwa mimi kwa sababu flan ambazo hata hazishawishi.
ACT Tafadhali embu mpeni nondo huyo mpina mtulizeni kwaza atulie a relax yaan aonyeshe ana nini cha tofauti. Najua mlifanya maumuzi haraka sanaa kumpa kitengo mtulizeni mpeni notes maana yy ndo anategemewa kuonyesha competition. otherwise anaoneka amepewa oversize position.