Sasha Fierce
JF-Expert Member
- Feb 7, 2009
- 361
- 5
LOL...unakumbuka ugomvi wake na Mange?
My daughter
Hebu niPM tuongee chemba....
Asante!
No father,what you are trying to say is not fair enough.Kila mtu na kazi yake alafu daddy this is the thing siyo lazima wote tuwe na akili sawa.Na kuanza ku mjdge mtu na fani yake siyo vizuri kabisa what if mimi binti yako nikiamua kuwa striper utaniita malaya?.
LOL...unakumbuka ugomvi wake na Mange?
Dah lile bifu tulikuwa tuna enjoy sana kule Ze utamu hivi hawewezi buni ze utamu ingine jamani?
My daughter
Usiweze kuwa stripper nikiwa bado hai, please niPM
,kwanza hayo ni mambo yameshapita na wakati na watu wame move on, inabidi tugange yajayo.tuache kufikiria past let us think of present "focus people".
Hii ni movie bibie lazima iwe na flash back tunasonga mbele lakini nyuma nako muhimu.
Yo Yo atafufua nyingine soon....keep awaiting!
Hahaha sawa mpwa ile mzee watu tulikuwa tunapata habari zaidi ya habari ngoja tusubili mpya.
Daddy,hilo lilikuwa ni swali tuu siwezi kuwa stripper kwani nina tarajia kuwa mama in few month to come.Na hilo swala la stripper halipo kichwani ila ilikuwa ni swali tuu,maana inaniuma sana kuona watu wanavyomuandama binti wa watu na kazi yake kama mtu unaona huwezi kumpigia kura basi muacheni tuu.Alichovaa yeye ni juu yake yeye na ni masiha yake anatafuta ridhiki yake.
Kama hataki watu wamjadili aache kujiweka hadharani kwenye mabulogi....it just comes with the territory...
OK my daughter, play safely I will be happy to be a grandpa....huwa nina sahau sana unajua umri tena atakuwa mjukuu wa ngapi vile?
Love dady
Komredi ulikwa platinum member nini kule Utamu?
Nyani i think it will be wise kama ukimjadili na kumpa kura yake lakini siyo ndiyo mnamjadili wee alafu hata kumpigia kura hakuna.
My vote is my secret and my vote is my right and I'm entitled to my own opinion as you are entitled to yours.
Thank you daddy for lovely wishes,napata mapacha actual wa kiume.Kunywa viagra zitakufanya usiwe unasahau daddy ok.
Ohhh no way viagra nitaweza muumiza mamayo na haya magonjwa ya moyo mmmh no thank you...instead nitakuwa nakula matikiti maji mengi....kila laheri be a good mother and a parent too!
what?kuvaa bikini ni kudhalilishwa?since when?.mbona sasa unaleta issue za miaka ya 47?hii ni karne ya 20 jamani hebu try to think about it.bado tuu mnataka watu waishi kama walivyoishi wazazi wetu common now.Hebu give her credits at least ana hustler kihalali na wala siyo kwa kujiuza au kula rushwa.
TK yupo juu kinoma alafu very down to earth,get to know her kabla hujam-judge.