Kuna webpage nadhani alikuwa anaihariri Mtazamaji ya teknohama bongo , toka jana husiku nikiigoogle ina nilepeleka kwenye link hii >>>(x10Hosting Account Suspended).
Hivyo nilikuwa na muuliza Mtazamaji au mshirika wake wa karibu ni wapi ameihamishia webpage hiyo maana ilikuwa inatukwamua sana sisi wapenzi wa soka na michezo mingine.