IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,027
Swali fikirishi kidogo,Leo nimeudhuria ibada ya ndoa ya jirani yangu hapa kisarawe.
Ndoa imefana sana,ila kuna vitu vimenitatiza kidogo.,mpiga kinanda ametumia mda wote kukaa hadi ibada imekwisha.
Nauliza je na yeye atakuwa amesali wakati hajafuata chochote kinachofanywa na waumini wengine? Pia nimeona wamama wanasare wanawazuia watoto wasipige kelele wakati ibada inaendelea hawa vp nao?
Nielimisheni taratibu zikoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoa imefana sana,ila kuna vitu vimenitatiza kidogo.,mpiga kinanda ametumia mda wote kukaa hadi ibada imekwisha.
Nauliza je na yeye atakuwa amesali wakati hajafuata chochote kinachofanywa na waumini wengine? Pia nimeona wamama wanasare wanawazuia watoto wasipige kelele wakati ibada inaendelea hawa vp nao?
Nielimisheni taratibu zikoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
