Mpiga kinanda naye anasali?

Mpiga kinanda naye anasali?

ni mgawanyo wa majukumu, kila mmoja na nafasi yake. Ingekua lazima wote waende pamoja kwa matendo ya kiibada basi hadi mchungaji/ padre na watumishi wa altare wangefanya sawa na waumini maana wote wanatakiwa wamuabudu Mungu.
 
Katika uislamu wote tunaenda sawasawa
ni mgawanyo wa majukumu, kila mmoja na nafasi yake. Ingekua lazima wote waende pamoja kwa matendo ya kiibada basi hadi mchungaji/ padre na watumishi wa altare wangefanya sawa na waumini maana wote wanatakiwa wamuabudu Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni mgawanyo wa majukumu, kila mmoja na nafasi yake. Ingekua lazima wote waende pamoja kwa matendo ya kiibada basi hadi mchungaji/ padre na watumishi wa altare wangefanya sawa na waumini maana wote wanatakiwa wamuabudu Mungu.
Huo mgawanyo wa majukumu mmeutoa katika kitabu gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo mgawanyo wa majukumu mmeutoa katika kitabu gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ili ibada iende vyema basi kuna huo mgawanyo wa majukumu umewekwa, ukisoma biblia utaona hayo yote wala sio mageni. Mfano katika agano la kale kwa Taifa la Israel kila kabila lilikua na kazi yake maalum ya kufanya na Kulikua na watu wanachaguliwa kuwakilisha hilo kabila kwenye hizo kazi.
 
Nadhani hatuelewani nasema biblia imeandika wapi majukumu ya mpiga kinanda?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimetoa maelezo ya kiujumla na sio ya mpiga kinanda peke yake, nimeelewa jinsi gani wanagawana majukumu ili ibada ifanyike, kwahiyo mpiga kinanda nae anatekeleza majukumu yake.
 
Umekeririshwa ibada ni lazima makalio yawe level ya juu kuzidi kichwa. Mungu ni roho na wamwabuduo yawapasa kufanya hivyo katika roho na kweli.
 
Back
Top Bottom