IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,027
- Thread starter
- #41
Jibu hoja mkuu.Umekeririshwa ibada ni lazima makalio yawe level ya juu kuzidi kichwa. Mungu ni roho na wamwabuduo yawapasa kufanya hivyo katika roho na kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app