Mpiga kinanda naye anasali?

Mpiga kinanda naye anasali?

Mimi nimetoa maelezo ya kiujumla na sio ya mpiga kinanda peke yake, nimeelewa jinsi gani wanagawana majukumu ili ibada ifanyike, kwahiyo mpiga kinanda nae anatekeleza majukumu yake.
Hiyo general umeitoa wapi katika biblia nataka nikasome

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... ibada sahihi bila roho na kweli ni ubatili; matendo ya mwili katika ibada bila roho na kweli ni kujilisha upepo.
 
ccm wakiingia kanisani lengo lao huwa ni kuwataka viongozi wa dini wawasifie hata kwa maovu waliotenda maofisini
 
Back
Top Bottom