Mpenziwangu anajamba sana!

Mpenziwangu anajamba sana!

We ni sawa na mtu ananunua gari BENZI AU VOG hela ya mafuta hana. Ikimshinda anapita mitaa anulizia gari gani inakula mafuta kidogo. Paki gari hiyo au waachie watakoimudu. Unamdhalilisha umpendae kwa maswali ya kuelekeza majibu. We hayo majibu ya rafiki zako yamekushinda unayaleta humu jamvini. Hembu kamuulize baba yako mzazi.
 
kweli jf imebeba kila aina ya watu. Wakati wa game vaa sound proof masikioni usiwe wasikia....
Lakini haikuwa poa kumtangaza mwenzako kwa rafiki zako maana wakikutana naye nahisi picha inayowaijia haraka ni ya mambo uliyowambia
 
Una mpango wa kuendelea na huyo mpenzi wako kweli??

Maana kama ushawaeleza rafiki zako umefeli mbayaaaa. Mambo mengine huwezi shirikisha washikaji kama una akili timamu.

Imagine uko na hao washikaji zako halafu huyo dem wako akaja utajisikiaje?
 
Hapa ndo jukwaa la mahusiano, mapenzi, urafiki (mmu).

No comment lolz

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ubarikiwe kwa ushauri mzuri.
akina dada, angalieni aina za wanaume waliomo humu duniani.kuna wengine ni binadamu, wengine wanafanana kitabia na binadamu,wengine wanafanana na wanyama kitabia na wengine ni wanyama kitabia.
Sasa huyu dada wa watu, anajua amepata mtu, kumbe kapatikana.siri zote zinaletwa humu ndani.nina wasiwasi na umri wa huyu kijana, au malezi yake.kama ana umri zaidi ya miaka 25, basi hata ndoa yake itakuja kuwa na matatizo.
Hebu jaribu kuuliza hili swali kwa dada zako hapo nyumbani uone kitakachotokea!
 
wonders shall never end oooooooooh!
chineeekeeee hizo ni siri zako na mpenzio
jus zip your mouth sometym lol!

 
Wacha mambo yako ya ...... hapa. Si ujambe na wewe iwe ngoma draw? Usijishebedue hapa. Mbona we huwa unalia kama nguruwe ukikaribia kunanihii lakin watu hawakuandiki kwenye mtandao?
 
Sidhani kama ni mchumba wako unae mpenda kwa dhati.kitendo cha kuwaambia rafiki zako siri za mpenzi wako ni kumdhalilisha,isitoshe wanamfaham hiyo dhalau.
 
Sidhani kama ni mchumba wako unae mpenda kwa dhati.kitendo cha kuwaambia rafiki zako siri za mpenzi wako ni kumdhalilisha,isitoshe wanamfaham hiyo dhalau.
 
Sidhani kama ni mchumba wako unae mpenda kwa dhati.kitendo cha kuwaambia rafiki zako siri za mpenzi wako ni kumdhalilisha,isitoshe wanamfaham hiyo dhalau.
 
hii sio facebook wewe, acha ushamba, wewe unafikiri watu wanajifunzaje? haji kwako kupiga ramli ng'o
Utakuwa lini wewe? siri zako na mpenzi wako unaleta hapa ili iweje!! wewe mwehu nini?
 
jamani wana jf nawasilisha kwenu hili tatizo linalomsibu gal wangu maana iz too much
nikiwa nasex naye huwa anaachia mizinga[mashuzi] si kawaida katka game anaweza hata akaachia mara 3 na zaidi
nimewaeleza rafikizangu wa karibu wengine wakaniambia labda kunawatu wanamla 0712

wengine wananiambia ndo maraha na mizuka anayopata afikapo kileleni that why anajamba

so naombeni ushauriwenu/mawazo/maoni nk maana hii hali inanikera sana#

hili ni personal zaidi kaka wala sio mahala pake hapa
 
Back
Top Bottom