Mpenzi ya sasa bwana!!!

Mkubwa Jalala

Senior Member
Joined
Mar 21, 2012
Posts
112
Reaction score
23
Boy: Hallow mpenz.
Girl: Hallow baby.
Boy: Naomba leo jioni uje home.
Girl: Sitoweza kuja kwakua leo tunaenda kwenye harusi ya dada.
Boy: Basi jitahidi uje kesho.
Girl: Samahani honey keshopia sitoweza nyumbani watakuja wageni.
Boy: Oky maana nilikuwa nimekununulia BlackBerry.
Giry: Waooo nitakuja hiyo jioni na leo nitalala hukohuko, mwamwamwaaaa.
Boy: Vipi kuhusu harusi?
Girl: Honey nilikuwa ninakutania tu.
Boy: Basi hata nami nilikuwa nakutania.
 
hahahhaaa...wote wawili manyonya kudadadeki..
 
Hizi BB zitawamaliza. Umenisuuza. Sasa nilale
 
Hapo unampiga chini kwani muongo
Bb ndio code ya IFM

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 

Ebwana safi
Umenikoshaaaaa
na hiyo smg
I waz sad bt am happy nw.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…