Mpe mimbaHallo ndugu zangu
Nina mchumba wangu ambaye tumepanga kuoana mimi na yeye mwaka kesho. Ila hali za huyo mchumba wangu mpaka sasa hivi na shindwa kuzielewa kabisa.
Mimi huyo mchumba wangu ni mtu ambaye amesoma ni msomi kabisa na anafanya kazi ya usecratary kwenye kampuni fulani apa mjini. Na mimi na fanya kazi zangu mjini apa za kawaida tu.
Sasa huyo mchumba wangu tangu apate kazi hiyo ni mtu wa ubize ubize tu kila saa yaani yeye hana mda wa kutulia nyumbani kabisa eti labda unaweza kuonana naye au kuongeya naye kwenye simu mda uo hana ni mtu wa ubize ubize na nikikutana naye mda wote yeye ni mtu wa kunikosoa kosoa hata kama yeye ndo ana kosa mda wote yupo ivo tu
Hivi ni njia gani ni tumie kuishi na mwanamke kama huyo au nimpege chini ni mtafute mwanamke ambaye ajasoma kama mimi
Maana hawa wasomi mmmm sio watu wazuri kabisa wanajiona wadogo zake Mungu
Hii misemo isiyonamaana sijuwi nani huwa anawalisha..! ?,Kadiri mwanamke anavyo zidi kujiinua kiuchumi ndivyo anavyo jiweka mbali kuwa na wanaume.
Utasubiri Sana.
Mchane tu...Tumwambie au Tukaushe kwanza.
Usingesema hivi kwa jinsi ulivyoandika nilidhani wewe ndiyo mwanamke unamlalamikia mwanaume...Hivi ni njia gani ni tumie kuishi na mwanamke kama huyo...
embu jaribu kudate na mmoja wao uje kuleta mrejesho humu mkuuHii misemo isiyonamaana sijuwi nani huwa anawalisha..! ?,
So akijiweka mbali na wanaume anakuwa karibu na wanwake ?
Yaani u secretary tu ndio awe busy..Blaza unachapiwa..tena unachapiwa na waliokuzidi kipato ndio maana kila kitu unakosolewa..fanya mambo mengine ya kujenga nchi,achana nae..ukiendelea utakufa vibaya weweHallo ndugu zangu
Nina mchumba wangu ambaye tumepanga kuoana mimi na yeye mwaka kesho. Ila hali za huyo mchumba wangu mpaka sasa hivi na shindwa kuzielewa kabisa.
Mimi huyo mchumba wangu ni mtu ambaye amesoma ni msomi kabisa na anafanya kazi ya usecratary kwenye kampuni fulani apa mjini. Na mimi na fanya kazi zangu mjini apa za kawaida tu.
Sasa huyo mchumba wangu tangu apate kazi hiyo ni mtu wa ubize ubize tu kila saa yaani yeye hana mda wa kutulia nyumbani kabisa eti labda unaweza kuonana naye au kuongeya naye kwenye simu mda uo hana ni mtu wa ubize ubize na nikikutana naye mda wote yeye ni mtu wa kunikosoa kosoa hata kama yeye ndo ana kosa mda wote yupo ivo tu
Hivi ni njia gani ni tumie kuishi na mwanamke kama huyo au nimpege chini ni mtafute mwanamke ambaye ajasoma kama mimi
Maana hawa wasomi mmmm sio watu wazuri kabisa wanajiona wadogo zake Mungu