Mpenzi wangu sio rafiki

unabahati kupata mwanamke kama huyo,jitahidi mpende sana Duniani hakuna mkamilifu kwa mtazamo wangu namuona kama mwanamke makini,Mtulivu na msikivu kwa sababu anapenda kukusikiliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Unachosema ni kweli, wapole wengi ni loyal sana na warembo kwelikweli..
 
Mla Bata hayo machungu hata mimi yalinikuta. Unaweza ukaongea weee yeye anakutolea mimacho tuu.. Au unamchekesha anaishia kuonesha meno..

Ila kwasasa naenda nae sawa!!

Daaaah hivi unataka kuniambia hii kitu ni common mkuu???, na sababu zake ni nini? Vipi ni njia gani ulizotumia kumuweka sawa??
 

Hapo kwenye kuwa nasty n romantic sasa ni moja ya tatizo ambalo nimekumbana nalo mkuu, sio mtu wa vitu hivo kabisa
 

Absolute YES mkuu, nimemkuta hajui hayo mambo, nashukuru kwa ushauri mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…