Apambane na mapenzi yakehakuna jambo linalotokea bila sababu bwana, itakua kuna kitu umemkwaza maybe ndio umuulize sababu ya wewe kukuchukia sisi ukituuliza na wewe kosa hulijui tutakusaidiaje sasa?
hahaha na kweli
Huu sasa ni upuuzi... Hananichukia ndo nini? Itafika mahali tutashindwa kuwavumiliampenzi wa kanambia hananichukia na ataki hata kunisikia kosa silijui nifanye nini
hulali?
amekwambia hakutaki inabidi uelewe na ukubali....maana kesho na leshokutwa usije lalamika unasalitiwa burempenzi wa kanambia hananichukia na ataki hata kunisikia kosa silijui nifanye nini
mpenzi wa kanambia hananichukia na ataki hata kunisikia kosa silijui nifanye nini