tawa driller
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 296
- 152
Habari wana jukwaa natumai hapa ni eneo husika kabisa kwa hili tatizo lililomkuta mpenzi wangu.
Mpenzi wangu ana ujauzito wa miezi minne na jana ndio alianza kwenda kliniki. Lakini baada ta vipimo daktari akamwambia kuwa mimba imetunga nje ya mfuko kwa hiyo ni ectopic.
Kwa sababu hiyo akamshauri hiyo mimba itolewe kwa kulinda afya yake au kama anataka kuendelea kukaa nayo basi atatakiwa kutokufanya kazi ngumu ngumu. Kwa maelezo ya daktari ni kuwa kwenye hiyo mimba lolote linaweza kutokea.
Sasa basi kilichonileta kwenye hili jukwaa ni kutaka kujuwa je Ectopic Pregnancy ina uwezo wa kukua hadi kufikia miezi minne (16 weeks)?
Je, Ultra sound inaweza kukosea kutoa majibu au daktari anaweza kukosea kuyasoma majibu ya ultra sound?
Je, nini kifanyike kutokana na situation ya huyo mpenzi wangu?
Mpenzi wangu ana ujauzito wa miezi minne na jana ndio alianza kwenda kliniki. Lakini baada ta vipimo daktari akamwambia kuwa mimba imetunga nje ya mfuko kwa hiyo ni ectopic.
Kwa sababu hiyo akamshauri hiyo mimba itolewe kwa kulinda afya yake au kama anataka kuendelea kukaa nayo basi atatakiwa kutokufanya kazi ngumu ngumu. Kwa maelezo ya daktari ni kuwa kwenye hiyo mimba lolote linaweza kutokea.
Sasa basi kilichonileta kwenye hili jukwaa ni kutaka kujuwa je Ectopic Pregnancy ina uwezo wa kukua hadi kufikia miezi minne (16 weeks)?
Je, Ultra sound inaweza kukosea kutoa majibu au daktari anaweza kukosea kuyasoma majibu ya ultra sound?
Je, nini kifanyike kutokana na situation ya huyo mpenzi wangu?